• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KWA KIPINDI CHA MWEZI JULAI DESEMBA 2024

Posted on: January 9th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndugu Yefred Myenzi leo Tarehe 8 Januari 2025 katika Ukumbi wa Gedeco amefanya kikao na watumishi wote wa Makao makuu Watendaji wa Kata, Mitaa, Vijiji na Waganga wafawidhi kwa lengo la kujadili mikakati mbalimbali ya utendaji kazi hasa katika kipindi hiki ambapo Halmashauri imepanda hadhi na kuwa Manispaa . Pia amepokea taarifa ya tathmini ya utendaji kazi kwa kipindi cha Mwezi Julai - Desemba 2024. Akiwa katika kikao hicho ambacho kimefanyika katika Ukumbi wa GEDECO uliopo Manispaa ya Geita ameeleza kuwa kitendo cha Halmashauri kupanda hadhi nakuwa Manispaa ni heshima kubwa kwani inaifanya Halmashauri kuwa na mipango mikubwa ya kimkakati ikiwa ni pamoja na upangaji mzuri wa maeneo ya Makazi Biashara na Burudani.
pamoja na hayo amehimiza watumishi kwenye idara zinazojihusisha na burudani kuwa na ubunifu mkubwa wa matamasha mbalimbali yatakayo ifanya manispaa kupata mapato na kuchangamka muda wote.
Pia katika kikao hicho Mkurugenzi amesisitiza mambo matano muhimu ambayo ni Majukumu ya Msingi ya Halmashauri
1.Kukusanya Mapato.
2.Kuhakikisha Mapato yanatumika kuleta Maendeleo.
3.Kutoa Huduma Mbalimbali kama Afya, Elimu
4.Kutatua Kero Mbalimbali zilizoko katika Jamii.
5.kuhakikisha Ustawi wa Jamii.
Mkurugenzi Myenzi amesisitiza kila mmoja kuzingatia suala la Ukusanyaji wa Mapato na kuwakumbusha kuwa mapato hayo yanayokusanywa hutumika kujenga na kutatua changamoto mbalimbali katika Manispaa ikiwa ni pamoja na Ujenzi wa Ofisi, Hospitali, Shule n.k. Pamoja na mambo mengine amewakumbusha watumishi kuendelea kuwa na umoja wanapokuwa kazini na katika jamii amewaeleza kuwa Halmashauri  inayo majukumu mengi makubwa kupitia idara zake hivyo ameendelea kuwaasa watumishi kufanya kazi kwa bidii kila wanapopewa Jukumu. Katika Kuhakikisha watumishi wanafanya kazi kwa Utumishi Bora, Afisa utumishi Halmashauri ya Mji Geita Ndugu Mussa Mbyana amewaeleza na kuwasomea kanuni taratibu na miongozo ya kitumishi ikiwa ni pamoja na kuzingatia mavazi yenye muonekano mzuri usio tia shaka. pia amewashauri watumishi kuzingatia vitu wanavyokwenda kusomea hasa wanapohitaji kwenda kuongeza elimu zao amesema kuwa sio kila kitu kinachofundishwa  kinafaa kutumika katika shughuli za kiofisi hivyo wanapaswa kuangalia kwa umakini fani wanazokwenda kusomea na faida zake ili kuepuka kupoteza muda .Amewataka pia watumishi kujiandaa vyema hasa wanapoelekea katika kipindi cha kustaafu kwani kumekuwa na changamoto nyingi hususan watumishi wanapostaafu bila kujiandaa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa