• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

TASAF Kuwapunguzia Mwendo Wananchi wa Mkolani

Posted on: September 12th, 2023

TASAF Kuwapunguzia Mwendo Wananchi wa Mkolani

Jumla ya kaya 921 zinazoundwa na  mitaa ya Buchundwankende na Ilungwe kata ya Nyankumbu Halmashauri ya Mji Geita zitanufaika na uwepo wa Zahanati mpya ya Mkolani ambayo inajengwa kwa Shilingi Milioni 197.2  Kupitia mradi wa Maendeleo ya Jamii Nchini (TASAF)

Akizungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi huo hivi karibuni   Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Cornel Magembe ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujali afya za wananchi wake kwa lengo la kuhakikisha kila Kata inakuwa na Kituo cha Afya na Zahanati kwa kila Kijiji.

Mhe. Magembe amesema kuwa wananchi wa mitaa itakayonufaika walipata adha kubwa ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za matibabu katika Kituo cha Afya Nyankumbu na Zahanati ya Ikulwa, hali ambayo inawapa usumbufu  wanawake wanaokwenda kujifungua , jambo ambalo linakwenda kuwa historia kutokana na kukamilishwa kwa Zahanati ya Mkolani.

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Mji Geita Bw. Amani Madenge ameeleza kuwa mradi wa ujenzi wa Zahanati hiyo unatekelezwa kwa muongozo wa Kupunguza Umaskini awamu ya nne ambapo TASAF inashirikiana na uongozi wa Serikali kuanzia ngazi ya Mkoa hati mtaa na kusimamiwa na jamii kupitia kamati za usimamizi wa miradi (CMC).

“Tunatoa shukrani kwa TASAF kwa kuiwezesha jamii ya Mkolani kusogezewa huduma ya matibabu karibu na maeneo yao. Pili jamii kupitia Kamati za usimamizi zimejengewa uwezo katika suala la usimamizi wa miradi na manunuzi, hii itaongeza wananchi kuutunza vyema na kuusimamia mradi usiharibiwe kwa makusudi”. Aliongeza Bw. Madenge.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 MKOA WA GEITA July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI August 18, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Serikali Yapongezwa Kwa Kukuza Uwekezaji

    September 28, 2023
  • Geita Mji Yapongezwa Kuvuka Lengo La Upandaji Miti

    September 25, 2023
  • Geita Mji Yasaini Utekelezaji Miradi ya TACTIC

    September 24, 2023
  • Geita Mji Yanufaika na Vifaa vya Michezo

    September 21, 2023
  • Zaidi

Video

ASANTE SERIKALI YA AWAMU YA SITA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa