• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Taasisi Za Fedha Kopesheni Kwa Riba Nafuu- DC

Posted on: March 12th, 2021

Taasisi Za Fedha Kopesheni Kwa Riba Nafuu- DC                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                    

Taasisi mbalimbali zinazojishughulisha na masuala ya kifedha zikiwemo benki katika Wilaya ya Geita zimeagizwa kukopesha mikopo yenye riba nafuu vikundi vya wanawake wanaojishughulisha na  ujasiriamali katika Nyanja tofauti.

Agizo hilo limetolewa na mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Geita  Wakili Innocent Mabiki ambaye ni Afisa Tarafa wa Geita akizungumza kama mgeni rasmi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake yaliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Gedeco Halmashauri ya Mji Geita.

Ndg. Mabiki amesema kuwa mikopo yenye riba kubwa ambayo inatolewa na taasisi za kifedha zilizoko katika maeneo yao zinawavunja moyo wanawake wote ambao wamekusudia kujikwamua kiuchumi kupitia shughuli mbalimbali lakini wamekosa mitaji ya kuanzishishia biashara zao. Kadhalika amewakumbusha wanawake waliopata mikopo kujenga desturi ya kurejesha kwa wakati mikopo hiyo ili na wenzao wapewe.

Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Geita Ndg. Majagi Maiga ameeleza kuwa wanawake wengi katika mji wa Geita wamepata mwamko wa kufanya shughuli mbalimbali za uzalishaji mali ikiwemo biashara ndogo ndogo, ufugaji, kilimo cha mazao ya chakula na biashara, ushonaji nk. Dhana ya kujihusisha na uzalishaji mali imeendelea kuwafanya kuwa wabunifu wa miradi ya maendeleo.

Ndg. Maiga amesema kuwa Idara yake  hupokea baadhi ya changamoto zinazowakabili wanawake na Halmashauri ya mji wa Geita inaendelea kukabiliana nazo kwa kuendelea kutoa elimu ya ujasiriamali kwa wanawake ili kutangaza bidhaa zao na kuzikuza katika viwango vya ubora kwa kushirikiana na taasisi nyingine kama SIDO, Kuhamasisha wanawake kuunda vikundi vyenye miradi yenye mwelekeo wa viwanda vidogo na kushirikiana na wadau wa maendeleo na Taasisi za kifedha ili kuwezesha wanawake wengi zaidi kupata fursa za kuwezeshwa kiuchumi.

Siku ya wanawake duniani huadhimishwa Machi 8 kila mwaka kwa lengo la kuenzi na kutambua mchango wa wanawake katika shughuli za malezi,kijamii na kiuchumi ambazo huwezesha kusukuma gurudumu la maendeleo. Ambapo maadhimisho ya mwaka 2021 yaliongozwa na kauli mbiu isemayo “Wanawake katika Uongozi: Chachu kufikia Dunia Yenye Usawa.”




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa