• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

SIKU YA WAZEE DUNIANI 2017

Posted on: October 2nd, 2017

Wazee Wote Wapatiwe Vitambulisho vya Matibabu- DC

Halmashauri ya Mji na Wilaya Geita zimeagizwa kuwa kufikia mwezi Disemba 2017 wazee wote ambao hawajapata vitambulisho vya matibabu wapewe ili kuwajengea mazingira rafiki katika upatikanaji wa huduma za afya.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Geita Ndg.Herman C. Kapufi wakati wa maadhimisho ya siku ya Wazee Duniani iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Mgusu, Halmashauri ya Mji Geita tarehe 01/10/2017.

Mkuu wa Wilaya amesema kuwa wazee wote katika Halmashauri mbili zinazounda mkoa wa Geita wanatakiwa watambuliwe na kupatiwa matibabu bila gharama yoyote kufuatia agizo lililotolewa kwa nchi nzima na Waziri wa Afya Jinsia na watoto . Pia amewataka waganga/ wauguzi katika zahanati na vituo vyote vya afya watoe huduma za matibabu kwa wazee bila manyanyaso kwa sababu wanahitaji kupewa kipaumbele katika huduma za matibabu.

“Mzee yeyote atakayenyanyaswa au kudharauliwa wakati wa kupatiwa matibabu atoe taarifa katika ofisi yangu ili hatua za kinidhamu ziweze kuchukuliwa dhidi ya mganga au muuguzi huyo.” Aliongeza Ndg. Herman Kapufi.

Mkuu wa Wilaya ya Geita  alitumia muda huo kuwashauri wazee watambue fursa zilizopo katika maeneo yao ili watoe mapendekezo ya miradi ya kiuchumi itakayotekelezwa katika maeneo yao na kuwanufaisha. Kadhalika, aliwataka wazee ho kutowafichia siri vijana wao ambao ni wahalifu hususani wanaowatishia kuwaua, bali watoe taarifa za vijana hao kwenye vombo vya dola juu ya vitendo viovu wanavyofanyiwa.

Pia aliagiza kuundwa kwa mabaraza ya wazee kuanzia ngazi ya kata hadi Wilaya ili kutoa nafasi kwa wazee wote Wilayani Geita kuwa na chombo kitakachojadili masuala na changamoto zinazowakabili ikiwemo masuala ya ulinzi na usalama pamoja na ukatili kama mauaji ya vikongwe yanayofanywa dhidi ya wazee katika jamii.

Akisoma risala iliyoandaliwa na wazee , Mwenyekiti wa Umoja wa wazee katika Wilaya ya Geita Ndg. Laurent S. Galani amesema kuwa wazee Wilayani Geita bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali kama kutopatiwa mikopo ya makundi maalum, wazee kukosa nafasi ya uwakilishi katika maamuzi kuanzia ngazi ya kata hadi Taifa kama ilivyo kwa vijana na wanawake. Pia asilimia kubwa ya wazee bado hawajapatiwa kadi za bima ya bure ya matibabu.

Jumla ya wazee 19186 wameshapatiwa vitambulisho vya bure kwa ajili ya matibabu, na wazee 7720 bado wanasubiri vitambulisho hivyo ambapo shughuli ya kuvitengeneza inaendelea. Siku ya wazee Duniani huadhimishwa kila mwaka kwa lengo la kuwaenzi wazee wote na kuthamini mchango wao katika maendeleo ya Taifa. Ujumbe wa siku hii kwa mwaka huu ni “Kuelekea uchumi wa viwanda tuthamini mchango uzoefu na ushiriki wa wazee”.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa