• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Shule mpya ya Msingi Manga

Posted on: February 15th, 2019

Shule mpya ya Manga- Mkombozi wa watoto

Kukamilika kwa ujenzi wa  Shule ya msingi Manga katika mtaa wa manga kata ya Mgusu, Halmashauri ya Mji wa Geita kumewawezesha watoto waliofikia umri wa kuanza shule wanaoishi katika mtaa huo na maeneo jirani kujiunga na masomo mwezi Januari 2019.

Shule hiyo yenye vyumba sita vya madarasa, ofisi ya walimu na choo cha wanafunzi chenye matundu 12, sita kwa wavulana na sita kwa wasichana imesajili wanafunzi 336 wa madarasa ya awali, la kwanza na la pili, ambapo madarasa yaliyopo kwa sasa yanatosheleza vyema idadi ya watoto walisajiliwa.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii alipotembelewa shuleni kwake, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Ndugu Lugasia Nyatega ametoa shukrani za dhati kwa Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kuona umuhimu wa kuwajengea shule watoto wa mtaa huo na kuwapongeza wananchi wa mtaa wa Manga kwa kujitolea kwa hali na mali katika kuhakikisha wanafanikisha ujenzi wa shule hiyo yenye madhari na majengo yana yovutia.

Mwalimu Nyatega amesema kuwa changamoto ambayo wanakabiliana nayo kwa sasa ni uhaba wa walimu wa masomo ya awali, ambapo ameiomba idara ya Elimu msingi, Halmashauri ya Mji wa Geita kuangalia namna ya kuwapatia walimu wa masomo ya awali ili watoto wapate haki ya elimu kama inavyostahili.

Kwa upande wa Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Ndg. Yesse Kanyuma amesema kuwa amepokea ombi la walimu wa awali kutoka shule ya Msingi Manga na Ofisi yake inafanya utaratibu wa haraka kuhakikisha mwalimu mmoja wa masomo ya awali anahamishiwa shuleni hapo ili watoto waweze kufundishwa. Pia shule ya Msingi Manga itaendelea kupewa walimu katika vipindi tofauti pindi watakapopatikana.

Shule ya Msingi ni moja ya shule ambazo zimejengwa kwa asilimia kubwa na wananchi wa eneo husika baada ya wananchi hao kuelimishwa na kuhamasishwa kuchangia na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo. Pia Halmashauri ya Mji imechangia shilingi milioni kumi zilizotumika kukamilisha ujenzi wa shule hiyo iliyofunguliwa rasmi Januari 7 mwaka 2019.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa