• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

SHUKENI CHINI MKASIKILIZE KERO ZA WANANCHI - DC KOMBA

Posted on: June 18th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba amewataka Viongozi wa ngazi za Wilaya hadi Mtaa na Vijiji kwenda kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuacha tabia ya kukaa maofisini.

Mhe. Komba ameyasema hayo alipokuwa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Soko la Mtaa wa Nyakato lililopo Mtaa wa Nyakato katika Kata ya Nyanguku. Mhe. Komba ameanza ziara yake ya kutembelea Kata zote za Halmashauri ya Mji Geita lengo kuu likiwa kujitambulisha, kuijua Halmashauri ya Mji wa Geita, Kutembelea na kukagua miradi iliyokwama ili iweze kukamilishwa na kuanza kutoa huduma lakini pia kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia majibu.

Wananchi wa Kata ya Nyanguku wakifuatilia mkutano

Hatua hiyo imekuja ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwatumikia wananchi kwa kuwafuata katika maeneo yao kusikiliza kero zao na kuzitafutia majibu.

Mhe. Rais Samia alitoa maagizo hayo Septemba 17, 2023 wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Boma uliopo Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara.

Mhe. Komba ameeleza kusikitishwa kuona kero za Wananchi wa Vijijini na Mtaa zinafika mpaka Wilayani wakati kwenye maeneo yao kuna Viongozi wa ngazi zote ambao wanaweza kuzitatu kero hizo.

Wakati huo huo Mhe. Komba amewataka watendaji wote wa Kata, Mitaa na Vijiji kuhakikisha wanakuwa na Madawati ya kushughulikia kero na malalamiko ya wananchi na kuzitafutia majibu na kero ambazo hazitapatiwa majibu ndiyo zipande ngazi ya juu.

Akiwa katika ziara hiyo, Mhe. Komba ametembelea miradi mbalimbali muhimu ikiwemo ya afya, elimu, maji, barabara na kusikiliza kero zao na kuzitafutia majibu.

Mhe. Komba (Mwenye Kaunda Suti) akiwa katika ukaguzi wa mojawapo ya Mradi 

Katika ziara hiyo, Mhe. Komba alifuatana na Katibu Tawala Wilaya, Kamati ya Usalama Wilaya, Mkurugenzi wa Mji, Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Mji, Afisa Tarafa ya Geita na Wakuu wa Taasisi za TANESCO, TARURA na GEUWASA

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa