• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Serikali Yawaonya Wanaojinufaisha Kupitia Makazi Ya Watoto

Posted on: September 15th, 2023

Serikali Yawaonya Wanaojinufaisha Kupitia Makazi Ya Watoto

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa onyo kali kwa baadhi ya wamiliki wa makao ya Watoto ambao wanatumia usajili wanaopewa kwa maslahi yao binafsi.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mheshimiwa Mwanaidi Ali Khamis alipofanya ziara ya kutembelea Kituo cha Watoto yatima na waliotelekezwa Moyo wa Huruma kilichopo Geita mjini na kuzungumza na Watoto pamoja na walezi wao hivi karibuni.

Mhe. Mwanaidi Khamis amesema kuwa kumekuwa na desturi ya baadhi wa wamiliki wa vituo vya Watoto kutumia picha za Watoto kwa maslahi yao binafsi ili kujipatia fedha au misaada mbalimbali kutoka kwa wafadhili na wahisani walioko ndani au nje ya nchi.

“Serikali haitawavumilia wamiliki wote wa makazi ya Watoto ambao watakiuka sheria na kanuni za uendeshaji wa vituo vya Watoto, bali endapo shirika lolote litathibitika kutumia Watoto kujinufaisha binafsi, shirika hilo litafutiwa usajili mara moja.” Ameongeza Mhe. Mwanaidi Khamis.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wanawake na makundi maalum ameeleza kuwa ndoto ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuona Watoto wa kitanzania hawapati tabu bali wanaishi katika mazingira salama. Pia ametoa pongezi kwa waanzilishi wa kituo cha malezi ya Watoto waliokosa fursa ya kulelewa majumbani kwa kuwalea Watoto hao kwa mapenzi makubwa kwani malezi ya Watoto yanahitaji moyo.

Mheshimiwa Mwanaidi Khamis amewashauri wanawake wote ambao hawajajiunga katika vikundi mbalimbali vinavyojishughulisha na kazi mbalimbali za kujiingizia kipato wameshauriwa kuunda vikundi hivyo ambavyo vitawawezesha kujikwamua kiuchumi kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Cornel Magembe amesema kuwa Halmashauri ya Mji kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo likiwemo Jimbo Katoliki la Geita kuhakikisha Watoto wanaoishi katika makazi ya Moyo wa Huruma wanaendelea kupata huduma za msingi na kuishi kwa furaha, usalama na amani.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa