• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

SERIKALI IMEIDHINISHA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 7.7 KWA AJILI YA KULIPA MADAI

Posted on: May 1st, 2025

SERIKALI imeidhinisha kiasi cha shilingi bilioni 7.7 kwa ajili ya kulipa madai na malimbikizo ya mishahara, likizo na masaa ya ziada kwa watumishi wa umma mkoani Geita kwa mwaka wa fedha 2025/26.

Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigella ametoa taarifa hiyo katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani  (Mei Mosi 2025) kwa mkoa wa Geita yaliyofanyika mjini Geita.

Amesema mkoa wa Geita uliomba pesa hiyo na serikali iimeridhia kutoa pesa hiyo ili kuondoa malalamiko na kutengeneza mazingira rafiki ya wafanyakazi wakiwa ndani na nje ya ofisi za kazi.

Amesema ndani ya miaka minne sh bilioni 2.1 zimelipwa kama malimbikizo ya likizo na malipo ya muda wa ziada kazini huku sh bilioni 1.5 zimetumika kulipa malimbikizo ya mshahara kwa watumishi 4,323.

Ameongeza pia ndani ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita kwa kujali maslahi ya watumishi wa umma nchini takribani wafanyakazi 15,931 mkoani Geita wamepandishwa madaraja.

Amesema katika hatua nyingine watumishi 969 wa mkoa na halmashari zake  wamebadilishiwa vitengo huku mkoa ukipokea watumishi wapya 8,426 kati yao 6,202 wakiwa ni walimu.

“Ndani ya kipindi cha miaka  minne, wapo wafanyakazi 592 waliokwenda mafunzo ya muda mrefu, kati yao watumishi 501 wameenda mafunzo ya muda mrefu na wafanyakazi 91 wa muda mfupi”, ameeleza Shigella.

Amesema mabadiliko ya kada, vitengo na kielimu yemeendelea siyo tu kwa watumishi wa umma bali pia kwa sekta binafsi na kuitaja Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) kama mfano wa kuigwa.

Mtaalamu wa Usalama wa Mazingira GGML, Sia Malle amesema mgodi huo umelipa kipaumbele suala la usalama mahala pa kazi kwa kuzingatia matumizi ya vifaa vya kisasa kwa watumishi wote.

Mratibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA), Magilu Ndembile aliiomba serikali kuendelea kufanyia kazi suala la kokotoo pamoja na uwasilishwaji wa michango katika mifuko ya kijamii.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI


TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO MAALUMU WA BARAZA WA KUJADILI MAJIBU YA HOJA NA MAPENDEKEZO YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    June 11, 2025
  • BILIONI 19.1 KUTEKELEZA UJENZI KITUO KIKUU CHA MABASI MANISPAA YA GEITA

    June 06, 2025
  • WATUMISHI GEITA MANISPAA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    June 05, 2025
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA GEITA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MITANDAO YA KIJAMII YENYE TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

    June 04, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa