• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Rais Samia Kufanya Ziara ya Kikazi Mkoani Geita

Posted on: October 13th, 2022

Rais Samia Kufanya Ziara  Mkoani Geita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi Mkoani Geita kwa siku mbili kuanzia tarehe 15 hadi 16/10/2022.

Akitoa taarifa kwa umma leo tarehe 13/10/2022 kwenye ukumbi wa ofisi yake mtaa wa Magogo, Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela amesema kuwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan atapokelewa wilayani Chato akitokea Mkoa wa Kagera na kufanya ziara ya kikazi katika wilaya za Chato, Geita na Bukombe kabla ya kuondoka kuelekea mkoani Kigoma.

Mhe. Shigela ameeleza kuwa baada ya Mhe. Rais kupokelewa atatembelea Hospitali ya kanda ya rufaa ya Chato ambapo atapokea taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo, kufahamishwa huduma zinazotolewa hapo na kuzindua hospitali hiyo. Baada yah apo Mhe. Rais akiwa njiani atasimama katika eneo la Buselesele na kuwasalimu wananchi wa eneo la Katoro na Buselesele na kisha kusafiri mpaka wilayani Geita.

Akiwa Wilayani Geita Mhe. Samia Suluhu Hassan atatembelea kituo kikubwa cha kupoozea umeme katika eneo la Mpomvu na kuzindua mradi huo kabla ya Kwenda kufungua rasmi kiwanda cha kusafisha Dhahabu Geita mjini na baada ya ufunguzi huo mchana wa tarehe 15 Oktoba atazungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara ambapo atawahutubia watanzania wote kupitia wananchi wa Mkoa wa Geita  kwenye uwanja wa CCM Kalangalala.

Mkuu wa Mkoa wa Geita ametoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi ili kumlaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni ziara yake ya kwanza Mkoani Geita tangu aingie madarakani pia kumshukuru kwa kuwezesha utekelezaji wa miradi ya Zaidi ya shilingi Bilioni 190 ikiwemo ujenzi wa madarasa , mradi wa kusambaza umeme kwenye vijiji 132, mradi mkubwa wa maji kupitia ziwa Viktoria na mingine mingi katika sekta za Afya, barabara nk katika Mkoa wa Geita .

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan atahitimisha ziara yake mkoani Geita tarehe 16 Oktoba 2022 kwa kuwasalimia wananchi wa eneo la Runzewe wilayani Bukombe akiwa safarini kuelekea mkoani Kigoma.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa