• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Ofisi ya LAPF Kanda ya Magharibi Yafunguliwa

Posted on: October 13th, 2017

Ofisi ya LAPF Kanda ya Magharibi Yafunguliwa

Mfuko wa Jamii wa Serikali za Mitaa( LAPF) Tanzania umefungua rasmi ofisi yake ya kanda ya magharibi iliyoko katika Halmashauri ya Mji Geita Mkoani Geita.

Ofisi hiyo ya kanda ya magharibi itakayohudumia mikoa ya Geita, Kagera, Kigoma pamoja na Halmashauri za Wilaya ya Sengerema na Buchosa zilizoko Mkoani Mwanza imefunguliwa katika Mkoa wa Geita ili kusogeza karibu kwa wanachama wa Mfuko wa LAPF walioko katika mikoa iliyoainishwa.

Akiongea katika hafla fupi ya ufunguzi wa Ofisi hiyo,  Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Mh. Joseph Sinkamba Kandege ameupongeza mfuko wa jamii wa LAPF kwa utendaji kazi mzuri na kuona umuhimu wa kufungua ofisi ya kanda ya magharibi katika Mkoa wa Geita.

Naibu Waziri huyo amesema kuwa Ofisi ya LAPF kanda ya magharibi itawapunguzia kero ya usafiri kwa umbali wa muda mrefu kwa wanachama waliokuwa wanasafiri kutoka Kigoma na Kagera kwenda katika Ofisi ya kanda ya ziwa Mkoani Mwanza kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali

Mh. Joseph S. Kandege ametoa wito kwa mifuko yote ya kijamii kuiga utaratibu mzuri unaofanywa na LAPF wa kulipa mafao ya kustaafu kabla ya muda wa kustaafu, utaratibu huu unawasaidia wastaafu kupanga mipango yao ya kimaisha mapema. Pia ameishauri mifuko hiyo kutoa elimu kwa wanachama wao juu ya umuhimu wa kujiandaa kwa maisha  baada ya kukoma utumishi kuliko kujipanga kimaisha baada ya kupata fedha ya kiinua mgongo.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI ameziagiza Halmashauri zote nchini ambazo zinadaiwa  na LAPF pamoja na Mifuko mingine ya kijamii, michango ya watumishi wao hususani Watendaji wa Kata na Vijiji kuandaa utaratibu wa kuwasilisha michango ya watumishi hao na taarifa ya utekelezaji itumwe Ofisi ya Rais TAMISEMI ili kuzichukulia hatua Halmashauri ambazo hazitatekeleza agizo hilo.

Akiwa Katika Halmashauri ya Mji Geita, Mh. Joseph S. Kandege alitembelea miradi mbalimbali inayoendelea kujengwa katika Mkoa wa Geita na Halmashauri ya Mji Geita ikiwemo ujenzi wa Hospitali ya Mkoa pamoja na ujenzi wa barabara, soko la kisasa na jengo la utawala la Halmashauri ya Mji Geita.

Sambamba na tukio la ufunguzi wa Ofisi ya kanda ya LAPF Mkoani Geita, LAPF wametoa mchango wa madawati 100 kwa Halmashauri ya Mji Geita ambapo Mkuu wa Mkoa wa Geita  Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga aliagiza madawati hayo yapelekwe katika Shule ya Msingi Nyantorotoro.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa