• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Mwenge wa Uhuru Wafungua Shule Mpya Geita Mji

Posted on: August 10th, 2023

Mwenge Wa Uhuru 2023 Wafungua Shule ya Msingi Juhudi

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndugu Abdalla S. Kaim amefungua rasmi Shule mpya ya Msingi Juhudi iliyoko katika Mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Mji Geita hivi karibuni.

Ndugu Kaim ameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali na kuwaagiza walimu na wanafunzi kuhakikisha miundombinu iliyojengwa inatunzwa vyema kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 kadhalika ametoa pongezi za dhati kwa Halmashauri ya Mji Geita kwa kutumia fedha za mapato ya ndani kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Pia wazazi na walezi mjini Geita wamepongezwa kwa kujitahidi kuienzi falsafa ya Mwenge wa Uhuru kwa kuwaruhusu Watoto kushiriki katika shughuli ya kuulaki Mwenge wa Uhuru ulipokimbizwa katika maeneo mbalimbali Geita mjini,

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mwatulole Bi. Catherine Mugusi ameeleza kuwa Shule ya Msingi Juhudi ambayo imejengwa kwa shilingi milioni 987.6 ambapo Halmashauri ya Mji Geita imechangia Shilingi milioni 130, Serikali kuu Shilingi milioni 800, nguvu za wananchi milioni 1.8 na mradi wa GPE-LANES Shilingi milioni 55.8

Bi. Mugusi ameongeza kuwa kukamilika kwa Shule mpya ya Msingi Juhudi  kutanufaisha jumla ya wanafunzi 995 na kupunguza msongamano katika shule za Msingi Nguzombili na Mwatulole ambazo kwa sasa zina jumla ya wanafunzi 9,649. Pia utasaidia kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia.

Mwenge wa Uhuru 2023 ulizindua, kufungua, Kuwekewa jiwe la msingi  na kutembelea  miradi 12 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.02 katika maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Mji Geita. Kauli Mbiu ya Mwaka 2023 inasema “ Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya maji kwa ustawi wa viumbe hai na kwa uchumi wa Taifa.”


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa