• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Msimu Wa Pamba 2022/2023 Wazinduliwa Geita

Posted on: October 19th, 2022

Msimu Wa Pamba 2022/2023 Wazinduliwa Geita

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Wilson Shimo amezindua rasmi msimu wa kilimo cha Pamba 2022/2023 katika wilaya ya Geita ambapo amewashauri wakulima kuandaa mashamba yao mapema, kupanda mbegu bora, kutumia mbolea ya samadi Pamoja na na kuachana na safari zisizo za lazima msimu wa kilimo unapoanza.

Tukio la uzinduzi limefanyika tarehe 18/10/2022 katika Kata ya Bukondo wilayani Geita ambapo liliambatana na utoaji wa zawadi nav yeti vya pongezi kwa wakulima hodari ambao walifanya bidi katika shughuli za kilimo kwa msimu wa kilimo 2021/2022.

Akieleza mpango mkakati wa kuongeza tija katika zao la Pamba kwa msimu unaoanza, Mkaguzi wa Pamba wilaya ya Geita Bw. Ndinda Anthony ameeleza kuwa wilaya imejiwekea lengo la kulima ekari 30,000 za zao la Pamba zitakazozalisha kuanzia kilo 10,000,000 kwa kuzingatia masuala muhimu amnbayo ni kuimarisha upatikanaji wa zana za kilimo na pembejeo, kugawa malengo ya kilimo kulingana na uzalishaji wa maeneo kuanzia ngazi ya kiji/ Mtaa, kata, Tarafa hadi Halmashauri.

“ Tutaimarisha mfumo wa utoaji elimu na ushauri wa kilimo cha Pamba kwa kushirikiana na wakulima wawezeshaji wa vijiji au mitaa ili wakulima walime kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo cha pamba, tutaanzisha mashamba darasa mawili kwa kila Kijiji yatakayomilikiwa na wakulima ili wakulima wengine waweze kujifunza kupitia mashamba hayo, kuwaunganisha wakulima wa zao la pamba Taasisi za Serikali na binafsi zinazotoa teknolojia za kilimo na ununuzi wa Pamba pamoja na kutoa motisha ya kutunuku zawadi wakulima hodari ili ushindani waw a kuzalisha kwa tija kubwa uendelee.” Aliongeza Ndg. Ndinda.

Wilaya ya Geita ina jumla ya kata 46 zinazolima zao la Pamba ambapo kwa msimu wa 2021/2022 kata ya Bukondo imeongoza kwa kutoa mkulima hodari na kuzalisha jumla ya kilo 349,000 za pamba ikifuatiwa na kata ya Butundwe ambayo imezalisha kilo 324,131 na ya tatu ni Kata ya Bulela iliyoko Halmashauri ya Mji Geita ambayo imezalisha kilo 213,627. Kwa ujumla uzalishaji wa zao la Pamba umeongezeka kuyoka kilo 1,639,638 msimu wa 2020/2021 hadi kili 3,339,333 kwa msimu wa 2021/2022.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa