• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Serikali yakabidhiwa Mradi wa kujikwamua kiuchumi Geita Mji

Posted on: January 19th, 2018

Mradi wa Ufundi kuwakwamua vijana kiuchumi

Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM)umeikabidhi Serikali ya Mkoa wa Geita Mradi wa Chuo cha ufundi kitakachowawezesha wanawake na vijana kujiajiri na kujikwamua kiuchumi na kijamii kuanzia ngazi ya familia na Taifa kwa ujumla.

Akiongea wakati wa hafla fupi ya makabidhiano hayo hivi karibuni Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ameishukuru GGM kwa kuwa sehemu ya maendeleo ya Mkoa kwa kutambua umuhimu wa wananchi wanaoizunguka kampuni yao kuwa na shughuli zitakazowawezesha vijana na wanawake kujikwamua kiuchumi kupitia fani mbalimbali zilizopo katika chuo hicho.

Mkuu wa Mkoa ameongeza kuwa  mradi huo utakuwa ni chanzo cha ongezeko la viwanda katika mkoa wa Geita kwani fani kama ushonaji, ufyatuaji wa matofali, uchomeleaji, utengenezaji magari utatoa fursa kwa wakufunzi wa chuo hicho kuanzisha miradi au viwanda vyao binafsi vitakavyowawezesha wao na jamii nzima.

“Serikali itauenzi mradi huu ambao ni mkubwa ulioanzishwa na kampuni ya GGM, nia ya Mkoa wa Geita ni kupanua ajira kwa vijana na wanawake hivyo uwekezaji kama huu unahitaji matunzo, na katika kuhakikisha matunzo hayo yanapatikana nawaagiza watendaji wa Halmashauri ya Mji Geita wanaohusika na masuala ya ufuatiliaji vikundi kuvilea na kuvitembelea vikundi vilivyopo katika chuo hicho mpaka vitakapokomaa na kuiwezesha Serikali pia kupata mapato yatokanayo na mauzo ya bidhaa watakazozitengeza.” Aliongeza Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Kwa upande wa Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita, Meneja Mahusiano wa Mgodi  Ndg. Manase Ndoroma amesema kuwa mradi huo ambao umegharimu kiasi zaidi ya shilingi Bilioni mbili za kitanzania   ulikamilika mwaka 2015 na wameukabidhi mikononi mwa Serikali wakiwa na Imani kuwa wanufaika waliofanya kazi katika mradi huo tangu ulipoanza wameweza kuongeza ujuzi katika fani zao.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa