• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

MNEC Apongeza Hatua za Ujenzi wa Uwanja wa Michezo

Posted on: March 29th, 2022

MNEC  Apongeza  Hatua  Za  Ujenzi  Wa  Uwanja  Wa  Michezo

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita Ndugu Evarist Gervas ametoa pongezi za dhati kwa uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Geita na Mgodi wa Dhahabu Geita kwa utekelezaji unaoridhisha wa ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa kisasa unaojengwa katika mtaa wa Magogo Geita mjini.

Ndg. Evarist ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati wa ziara yake ya kutembelea utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa madarasa, shule mpya, vituo vya afya, zahanati ambayo imejengwa ndani ya kipindi cha siku 365 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Geita

“Nimeridhishwa na hatua ya maendeleo ya ujenzi wa uwanja huu. Mkurugenzi  pamoja na timu yako pamoja na Mgodi wa GGM ambao ndio wawezeshaji katika utekelezaji  wa ujenzi wa mradi huo. Niwasihi muendeleze juhudi hizi ili kuhakikisha ujenzi unaisha kwa wakati uliopangwa na kuhakikisha timu yetu ya Geita Gold inaanza kucheza kwenye uwanja wa nyumbani na kuwapa fursa wakazi wa Geita kutazama mechi kubwa Mkoani kwao.” Aliongeza Evarist Gervas.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Bi. Zahara Michuzi amesema kuwa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo umefikia asilimia 65 na Halmashauri yake imejipanga kukamilisha ujenzi huo kwa awamu ya kwanza mwezi mei 2022 ili uweze kutumika kwa michezo ya mpira na wanageita waweze kuutumia kwa kufanya mazoezi ya viungo.

Ujenzi wa uwanja wa michezo Magogo unajengwa na mkandarasi EFQ COMPANY LTD na MUGOO CONSTRUCTION COMPANY LIMTED kwa gharama ya Shilingi 2,407,569,050.81 kwa awamu ya kwanza ambapo mundombinu inayojengwa ni pamoja na Ujenzi wa ukuta, mtaro wa maji ya mvua, jukwaa kuu,njia za mchezo wa riadha na uwanja wa kchezea mpira(pitch)



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa