Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita Ndg. Yefred Myenzi akiongozana na wakuu wa idara na vitengo Jumatano tarehe 21, 2025 amefanya ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua Miradi ya kimaendeleo inayoendelea kujengwa katika Manispaa ya Geita.
Lengo la ziara yake hiyo ni kuweza kutambua maendeleo ya miradi hiyo na hatua iliyofikia pamoja na kutolea ufumbuzi wa changamoto mbalimbali zinazojitokeza wakati ujenzi ukiendelea.
Wakati wa ziara yake hiyo ametemebele na kukagua;
PICHA MBALIMBALI KATIKA MATUKIO
TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram
Geita Tanzania
Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita
Namba ya Simu: 0282520437
Mobile:
Barua pepe: td@geitatc.go.tz
Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa