• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

MJI WETU UWE SAFI HII ITATUEPUSHA NA MAGONJWA - DC KOMBA

Posted on: May 31st, 2025

Wananchi wa Mwatulole Manispaa ya Geita wamejitokeza kushiriki zaoezi la kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Manispaa ya Geita ikiwa ni jumamosi ya Mwisho wa mwezi huku Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba, Katibu tawala Wilaya ya Geita Bi. Lucy Beda na Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita Ndugu. Yefred Myenzi wakiongoza zoezi hilo

Shughuli hii ya Usafi ni muendezo wa kampeni Ya HYAGULAGA GEITA (SAFISHA GEITA) iliyo zinduliwa na Mhe Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba Tarehe 26 Aprili, 2025 ikiamasisha watu kufanya usafi na kuisafisha Geita kuwa safi na yenyekupendeza

Nae Mkurugenzi wa manispaa ya Geita Ndugu. Myenzi ameendelea kuwasisitiza wananchi kuendelea kufanya usafi kila wakati katika maeneo yao nasio kungoja siku ya Jumamosi pekee ameyasema hayo huku akisisitiza wananchi kuendana na hadhi ya manispaa kwa kuisafisha Geita

Huku Wananchi wa Mwatulole wamesema wanaunga mkono na kumpongeza Mkuu wa Wilaya kwa kampeni hii inayohimiza usafi hakika amezindua vitu vingi ambavyo wanageita tunatakiwa kutoviacha vipite

Naye Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba amewashukuru wote kwa kujitokeze kuendelea na zoezi la usafi

"Nawashukuru kwa kujitokeza kwa wingi na nawaahidi kuhakikisha na kushirikiana nanyi katika kila hatua ili kuuweka mji wetu uwe safi hii itatuepusha na magonjwa ya mlipuko pia tutachukua hatua za kisheria kuwawajibisha wote wanao puuzia zoezi hili" amesema Mhe. Komba.


BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI


TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MJI WETU UWE SAFI HII ITATUEPUSHA NA MAGONJWA - DC KOMBA

    May 31, 2025
  • GEITA MANISPAA YAADHIMISHA SIKU YA WAUUGUZI NA WAKUNGA

    May 30, 2025
  • GEITA MANISPAA YAADHIMISHA SIKU YA WAUUGUZI NA WAKUNGA

    May 30, 2025
  • WANANCHI WANAHITAJI TAARIFA SAHIHI, KWA WAKATI NA ZENYE KUELEWEKA KUHUSU MIRADI YA MAENDELEO

    May 25, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa