• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Miongozo Ya Elimu Itumike Kuboresha Taaluma- DC

Posted on: September 19th, 2022

Miongozo Ya Elimu Itumike Kuboresha Taaluma – DC

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Wilson Shimo amewaagiza wataalam wa idara za elimu wakiwemo walimu wote katika Halmashauri ya Mji wa Geita kuhakikisha wanaitumia vyema miongozo ya uboreshaji elimu iliyotolewa na Serikali kwa kuboresha taaluma kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, pia kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya elimu katika wilaya ya Geita.

Mhe. Shimo ameyasema hayo hivi karibuni alipokuwa akiongea na walimu baada ya kuzindua rasmi miongozo ya uboreshaji  wa elimu ya Msingi na Sekondari kwa Halmashauri ya Mji wa Geita, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari  ya wasichana Nyankumbu

Mkuu wa Wilaya ya Geita amewaeleza walimu kuwa watambue kuwa wao ndio wenye wajibu wa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zilizoko katika maeneo yao ya kazi, hivyo miongozo iliyotolewa imepitia na kutafuta ufumbuzi wa baadhi ya changamoto zinazoikabili sekta  ya elimu na walimu kwa ujumla.

“Ndugu  zangu walimu ongezeni mbinu shirikishi za kufundisha ili wanafunzi wapate uelewa zaidi. Pia wazazi na walimu toeni mikakati ya kuzuia utoro sugu na rejareja kwa wanafunzi kwa ushirikiano na mashirika mbalimbali na Taasisi za umma zinazoshughulikia masuala ya elimu na haki za watoto, Kwa sababu utoro ni moja ya kizuizi kikubwa katika maendeleo ya wanafunzi kitaaluma na kinidhamu”. Aliongeza DC Shimo.

Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mhe. Johhn Lunyaba Mapesa  Diwani wa Kata ya Nyankumbu  amewaasa walimu kuwa suala la kutumika vema kwa miongozo ya elimu lichukuliwe katika uzito unaostahili ili Halmashauri iweze kuvuka kutoka ilipo na kwenda juu zaidi kitaaluma. Kadhalika  Mhe. Lunyaba amewakumbusha walimu hasa wa shule za msingi kuzitendea haki nafasi walizopewa ili kuhakikisha shule zote ndani ya Mji wa Gieta zinakuwa nafasi ya juu.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa imeandaa miongozo baada ya kubaini uwepo wa changamoto mbalimbali na kuainisha  hatua zinazotakiwa kuchukuliwa ili kukabiliana nazo kwa kushirikiana na wasimamizi wa elimu, wazazi/walimu, jamii, viongozi  na wadau mbalimbali  katika ngazi zote za usimamizi wa sekta ya elimu


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa