• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Milioni 50 za CSR zawezesha upatikanaji wa Zahanati

Posted on: November 20th, 2019

Milioni 50 za CSR Zawezesha Upatikanaji wa Zahanati

Jumla ya Shilingi Milioni 50 za kitanzania zimetolewa na Halmashauri ya Mji wa Geita kupitia fedha za CSR ili kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Magereza katika kata ya Kalangalala Geita Mjini.

Akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la zahanati hiyo tarehe 18/11/2019 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mheshimiwa Leonard Bugomola amesema kuwa Halmashauri yake kupitia fedha ya CSR inayotolewa na Mgodi wa Dhahabu iliamua kuweka nguvu kwenye ujenzi wa zahanati ya Magereza kwa lengo la kuhudumia wafungwa, mahabusu na wananchi wa mitaa ya jirani.

Mheshimiwa Zephania Mahushi ambaye ni Diwani wa Kata ya Kalangalala amewataka wananchi wote wanaoishi katika mitaa iliyo jirani na gereza la Geita mjini kutumia huduma zitakazotolewa na zahanati hiyo kwa gharama nafuu na karibu na nyumbani.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ameipongeza Kampuni ya GGM kwa kuunga mkono jitihada za Serikali katika kutekeleza miradi ya kimkakati yenye matokeo chanya katika mji wa Geits kupitia mpango wa fedha za uwajibikaji wa Kampuni kwa jamii( CSR).

“Kwa muda mrefu tumekuwa na changamoto ya wagonjwa katika gereza letu kukabiliwa na magonjwa mbalimbali lakini kwa msaada wa ujenzi huu wa ujenzi wa zahanati na mabweni, sasa tuna uhakika kwamba ripoti za magonjwa ndani ya magereza na maeneo yanayozunguka magereza zitapungua baada ya kukamilika kwa mradi huu. Naushukuru Mgodi wa Dhahabu wa Geita kwa kutoa vifaa vya ujenzi ambavyo vimetumiwa ipasavyo na wafungwa stadi waliokamilisha kazi nzuri ya ujenzi wa mradi huu.” Aliongeza Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo amewapongea GGM kwa kuona umuhimu wa madini wanayozalisha kuwanufaisha watanzania ili siku mgodi utakapofungwa wananchi wabaki na miradi itakayowanufaisha.

Waziri wa Madini amempongeza Mkuu wa Gereza la Geita kwa kuguswa na hali halisi ya wafungwa na wananchi wanaowazunguka juu ya uhitaji wa huduma ya afya na kuamua kuanzisha ujenzi wa zahanati. Pia amewasihi wananchi kuitunza vizuri zahanati hiyo ili iweze kudumu na kutoa huduma kwa watu wengi zaidi hadi vizazi vijavyo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Bw. Richard Jordinson amesema GGM ni kampuni Raia nchini Tanzania itaendelea kusaidia jamii jamii inayozunguka mgodi huo na zahanati hiyo ni ushahidi Dhahiri kwamba GGM, Serikali na jamii zinaweza kufanya kazi kwa pamoja katika kuboresha maisha ya watu kupitia uwekezaji wa miundombinu ya kijamii na huduma.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa