• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Migodi ya Madini Nchi Yaagizwa kuchangia Huduma za Jamii

Posted on: June 5th, 2020

Migodi ya Madini Nchini Yaagizwa Kuchangia Huduma za Jamii

Waziri wa Madini Mheshimiwa Dotto Biteko ameagiza kampuni zote zinazojishughulisha na uchimbaji madini kuhakikisha wanatekeleza sheria ya uwajibikaji wa kampuni kwajamii kwa kuchangia kikamilifu miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo wanayofanyia kazi.

Mhe.  Dotto Biteko ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa Dhahabu katika Soko kuu la Dhahabu Geita mjini hivi karibuni wakati wa ziara yake ya kukagua majengo ya Maduka awamu ya pili na tatu ambayo yamejengwa kupitia fedha za uwajibikaji wa migodi kwa jamii( CSR) kutoka mgodi wa Dhahabu wa Geita( GGM).

Waziri wa Madini ametoa shukrani kwa wafanyabiashara wote wa Dhahabu nchi nzima kwa kuivika nguo Serikali kwa kupandisha kiwango cha ukusanyaji ambacho hakijawahi kutokea ambapo Mwezi Mei Wizara ya Madini imefanikiwa kukusanya jumla ya Shilingi Bilioni 479.9

Aidha Mhe. Biteko amekemea tozo zisizo za lazima kwa wachimbaji wadogo ambazo zinatozwa na baadhi ya wamiliki wa leseni na Serikali za vijiji ilhali Serikali ilishaondoa tozo nyingine zisizo za lazima ili kuepusha utoroshwaji wa madini. “Wizara imesimamia vyema wachimbaji wadogo licha ya kuwepo kwa changamoto za ukusanyaji wa kodi kwa mwaka huu kwa sababu ya kushuka kwa uzalishaji kutokana na kunyesha kwa mvua nyingi.

Kwa upande wake Makamu wa Rais wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita( GGM) Ndg. Simon Shayo amesema wamejipanga kuhudumia jamii kwa kujenga soko la wajasiriamali hali ambayo itaongeza kipato kwa kina mama wanaojishughulisha na biashara ndogo ndogo . Pia kampuni yake imetenga Shilingi Bilioni 5.5 kwa ajili ya huduma mbalimbali za kijamii.

Mkuu wa Mkoa wa Geita   Mhandisi Robert Gabriel amesema kuwa kupitia sekta ya madini kuna mabadiliko makubwa ya maendeleo mkoani Geita zikiwemo huduma mbalimbali za kijamii zinazoboreshwa hususan huduma za afya, elimu na masoko ya kisasa kwa ajili ya wananchi wa kipato cha chini.

Wakati wa ziara yake katika Halmashauri ya Mji Geita Mhe. Dotto Biteko alitembelea na kukagua miradi mingine inayotekelezwa kupitia fedha za CSR kama ujenzi wa soko la wafanyabiashara Katundu, ujenzi wa jengo la utawala katika eneo maalum la uwekezaji kiuchumi na kiwanda cha kusafisha Dhahabu Geita ambapo ujenzi wa miradi yote bado unaendelea.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa