• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Mgogoro wa Vigingi na Mipasuko Kumalizwa Geita

Posted on: October 19th, 2023

Mgogoro wa Vigingi na Mipasuko kumalizwa Geita

Waziri wa Madini Mheshimiwa Anthony Mavunde amewaahidi wananchi wa Halmashauri ya Mji Geita kuwa migogoro ya vigingi na mipasuko iliyodumu kwa miaka mingi itamalizwa kwa amani bila migongano ya namna yoyote.

Mhe. Mavunde ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akizungumza na wananchi wa mitaa ya Nyakabale, Manga, Nyamalembo, Samina na Katoma wakati wa mikutano ya hadhara iliyofanyika katika maeneo yao.

Waziri wa Madini ameeleza kuwa Serikali kupitia wizara yake imeweka mkakati wa kuhakikisha mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 baina ya wananchi hao na  Mgodi wa Dhahabu Geita ndio maana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuelekeza kutembelea maeneo hayo na kuzungumza na wananchi ili kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo.

“Naomba nitumie nafasi hii kupongeza jitihada zilizofanywa na mtangulizi wangu upande wa Wizara ya Madini Mhe. Dkt. Doto Biteko ambaye kwa sasa ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati kwa kazi nzuri ambayo aliianza katika kutatua changamoto hii ambapo kupitia kazi yake kumenirahisishia kazi yangu kuwa nyepesi katika kuelekea kupatikana kwa ufumbuzi wa mgogoro huu.” Aliongeza Mhe.Mavunde.

Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mheshimiwa Costantine Kanyasu  amesema kuwa tatizo la vigingi limedumu kwa miaka mingi na amekuwa mstari wa mbele kuliwasilisha serikalini hususan anapokuwa katika vikao vya bunge, hivyo ameishukuru Serikali kwa namna inavyoendelea kusikiliza kilio cha wananchi hao na kupongeza hatua iliyofikiwa kwa sasa.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela  aliwapongeza wananchi wanaoishi katika mitaa inayozunguka mgodi wa GGM kwa kuendelea kuwa wavumilivu wakati wote ambapo Serikali inafuatilia mgogoro huo na kuwasihi kuendelea kuiamini Serikali kwani miezi michache mbeleni inakwenda kutatua mgogoro huo kwa weledi mkubwa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa