• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Mfumo wa Mapato

Posted on: August 30th, 2017

Halmashauri Zatakiwa Kutumia Vyema Mfumo wa Mapato

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Angelina L. Mabula ameziagiza Halmashauri zote za Mkoa wa Geita kuhakikisha mafaili yote ya ardhi na viwanja yanaingizwa katika mfumo wa usimamizi na ukusanyaji kodi za ardhi na Majengo  kielektroniki kufikia Septemba 30 mwaka 2017.

Mh. Angelina Mabula ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha hitimisho la ziara yake katika Mkoa wa Geita kilichofanyika tarehe 29/8/2017 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi pia amewaagiza Wakurugenzi wote wa Halmashauri za Mkoa wa Geita kuwawajibisha Wakuu wa Idara za Ardhi na Maafisa Ardhi wateule ambao watashindwa kutekeleza agizo hilo katika muda husika. Pia ameagiza kuwa viwanja vyote ambavyo havina upimaji wa kudumu (demarcation) vikamilishwe ili kuziwezesha Halmashauri kupata mapato.

Mh. Angelina Mabula ametoa agizo kwa Mkoa wa Geita kufanya upimaji shirikishi katika miji inayokuwa kwa kasi ili kuifanya iwe katika mpangilio na kuwezesha watu kukaa katika utaratibu uliokusudiwa. Pia kila robo ya mwaka wa fedha idadi ya wadaiwa sugu ianishwe na wadaiwa hao  wapewe hati ya madai( demand note) ili walipe madeni hayo na kuongeza mapato ya Halmashauri na Serikali kwa ujumla.

“Maafisa Ardhi pangeni utaratibu mzuri wa utendaji kazi na Asilimia 30% ya mapato inayorudishwa na Wizara ya Ardhi katika Halmashauri inatakiwa itumike katika kuwawezesha wataalamu wa Idara ya Ardhi kununua vitendea kazi na kuboresha mazingira ya Ofisi zao. Nawasisitiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote kutotumia fedha hizo katika shughuli nyingine tofauti na Idara ya Ardhi”. Aliongeza Mh.Angelina Mabula.

Naibu Waziri wa Ardhi amewataka Maafisa Ardhi kutatua kwa wakati malalamiko yanaowasilishwa kwenye ofisi zao na kuzitaka Halmashauri kuwashirikisha Makatibu Tawala wa Mkoa na Makamishna wa Ardhi wa Kanda katika utatuzi wa migogoro mbalimbali ya Ardhi na kupanga mikakati ya upimaji katika maeneo yao. Kadhalika ameagiza kutochukua maeneo ya watu pasipo kuwepo fedha ya fidia.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Geita Mh. Leonard K. Bugomola amesema Halmashauri yake imepokea maagizo yote yaliyotolewa na Niabu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na kuahidi kuyafanyia kazi kikamilifu kwa maendeleo ya Mkoa wa Geita na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa