• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Mbolea Kuanza Kusambazwa na Vyama Vya Ushirika

Posted on: June 9th, 2023

Mbolea Kuanza Kusambazwa na Vyama Vya Ushirika

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika msimu wa kilimo 2023/2024. imejipanga kutumia vyama vya ushirika kufikisha mbolea kwa wakulima ambapo kampuni ya mbolea Tanzania itawezesha kufikisha mbolea kwenye maeneo yasiyofikika na hivyo kuwapunguzia kero ya umbali wakulima kutokwenda Zaidi ya kilomita 15 kufuata pembejeo ya mbolea.

Mipango hiyo imebainishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ruzuku Ndg. Louis Kasera alipokuwa akizungumza katika kikao cha kuwajengea uwezo wataalam wa Idara ya Kilimo na mifugo, Mrajis na viongozi wa vyama vya ushirika mkoani Geita juu ya namna bora ya kufikisha mbolea kwa wakulima kilichofanyika hivi karibuni katika  ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Ndg. Kasera ameeleza   kuwa ifikapo tarehe mosi ya mwezi Julai mbolea zitakuwa zimesogezwa karibu na wakulima na kutoa wito kwa wakulima kujitokeza kununua mbolea mapema ili kupunguza misururu mirefu wakati wa msimu na kusema kwamba nguvu kubwa itawekwa kwenye vyama vya ushirika ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wakulima.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Profesa Godius Kahyarara amepongeza uamuzi wa Serikali wa kutumia vyama vya ushirika katika kusambaza mbole kwa msimu wa kilimo 2023/2024 na kuongeza kuwa vyama vya ushirika vinaishi na wananchi katika maeneo yao hivyo vinatambua changamoto zote zinazowakabili wakulima katika upatikanaji wa pembejeo za kilimo.

Profesa Kahyarara ameiomba Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania kuhamasisha uwekezaji wa viwanda vya mbolea vya ndani ili kupunguza utegemezi wa mbolea kutoka nje ya  nchi na kuongezaa kuwa uzalishaji wa ndani utaongeza ufanisi Zaidi katika kukuza kilimo na kupunguza matumizi ya fedha za kigeni katika kuagiza mbolea nje ya nchi na baadaye kukuza uchumi wa nchi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Ruzuku, Louis Kasera alieleza lengo la kufika mkoani hapo ni Pamoja na kuhamasisha watendaji kuendelea na zoezi la usajili na uhuishaji wa taarifa za wakulima ili kuwawezesha kunufaika na mbolea za ruzuku kwa msimu wa kilimo 2023/2024.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO MAALUMU WA BARAZA WA KUJADILI MAJIBU YA HOJA NA MAPENDEKEZO YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    June 11, 2025
  • BILIONI 19.1 KUTEKELEZA UJENZI KITUO KIKUU CHA MABASI MANISPAA YA GEITA

    June 06, 2025
  • WATUMISHI GEITA MANISPAA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    June 05, 2025
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA GEITA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MITANDAO YA KIJAMII YENYE TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

    June 04, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa