• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

MASHINDANO YA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI GEITA MANISPAA YAFANA

Posted on: July 23rd, 2025

Mashindano ya michezo kwa shule za sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita yamefanyika kwa mafanikio makubwa, yakiwa na lengo la kuimarisha elimu, afya na mshikamano wa wanafunzi kupitia kauli mbiu: “Tukutane Shuleni, Tujenge Kesho Iliyo Bora.”  

Kauli mbiu hii imebeba dhamira ya kumuunga mkono Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika juhudi zake za kuendeleza elimu na maendeleo ya vijana nchini.

Jumla ya shule 40 (shule 30 za Serikali na 10 binafsi) zimeshiriki kwenye mashindano haya, ambayo yamejikita katika malengo yafuatayo:  

- Kuhamasisha wanafunzi kuendelea na masomo  

- Kupunguza utoro na kuongeza mahudhurio shuleni  

- Kuibua na kuendeleza vipaji vya wanafunzi  

- Kukuza mshikamano wa kijamii  

- Kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa lishe bora na elimu

Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita, Ndugu Yefred Myenzi, katika hotuba yake aliipongeza idara ya elimu na walimu kwa maandalizi mazuri. Alisema:  

“Hii ni ishara tosha kuwa Geita tunathamini maendeleo ya elimu kwa njia zote ikiwemo michezo. Ushirikiano baina ya walimu, wanafunzi, jamii na viongozi umetufikisha hapa, kama Manispaa, tutaendelea kuweka mazingira bora ya kuendeleza vipaji hivi kwa manufaa ya vijana na taifa kwa ujumla.”

Aidha, aliendelea kuomba kampuni ya GGML kuendelea kudhamini shughuli hizi za michezo kila inapohitajika ili kusaidia kuinua vipaji vya watoto wetu.

Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashim A. Komba, ambaye alikuwa mgeni rasmi, alieleza kuwa:  

“Mashindano haya yameonesha wazi kuwa michezo si burudani tu, bali ni sehemu ya kujenga nidhamu, kuimarisha afya, kuibua vipaji na kuhamasisha ushiriki wa wanafunzi mashuleni, kama Wilaya tunajivunia kuona jinsi shule zetu zilivyoshiriki kwa ari kubwa.”

Alihitimisha kwa kusisitiza umuhimu wa kuendeleza vipaji vilivyojitokeza kwa kuwapatia malezi na mafunzo stahiki, ili waweze kuwa wachezaji bora wa baadaye katika ngazi ya taifa na kimataifa.


BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI


TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WAZIRI AWESO AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA

    July 25, 2025
  • KAMATI YA LISHE YA MANISPAA YA GEITA YAFANYA ZIARA YA UFUATILIAJI WA HUDUMA ZA LISHE MASHULENI

    July 24, 2025
  • WARSHA YA UHAKIKI WA TAKWIMU MPANGO WA HATUA ZA TABIANCHI BUKOBA NA GEITA - MFUKO WA GAP

    July 24, 2025
  • MASHINDANO YA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI GEITA MANISPAA YAFANA

    July 23, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa