• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Mapato ya Ndani Kujenga Miradi ya Kimkakati

Posted on: March 4th, 2021

Mapato Ya Ndani Kujenga Miradi Ya Kimkakati

Halmashauri ya Mji wa Geita katika kipindi cha pili ndani ya Serikali ya awamu ya tano imejipanga kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kwa kutumia chanzo cha mapato ya ndani ya Halmashauri tofauti na hali iliyokuwepo awali.

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mheshimiwa Costantine Morandi wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani robo ya pili kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Ofisi kuu Halmashauri ya Mji Geita.

Mhe. Morandi amesema kuwa miradi mikubwa kama ujenzi wa masoko na machinjio ya kisasa imetekelezwa kupitia fedha zinazotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita kwa jamii inayowazunguka( CSR) lakini Halmashauri ya Mji inaongoza katika ukusanyaji wa mapato kuliko Halmashauri zote za Miji Tanzania Bara, hivyo inatakiwa fedha hizo zifanye mambo makubwa na ya mfano.

“Halmashauri ya Mji Geita tumepanga kutoka kwenye dhana ya CSR na kufanya thamani ya makusanyo yetu ya ndani kuonekana, tunatakiwa tujenge Zahanati nzuri na za kisasa, Shule za msingi na Sekondari, masoko ya kisasa pamoja na miradi mingine kuanzia msingi mpaka ukamilishaji kwa kutumia fedha za mapato ya ndani tukisaidiwa na nguvu za wananchi na si kutegemea fedha za CSR katika kutekeleza miradi hiyo”. Aliongeza Mhe. Morandi.

Akisoma changamoto mbalimbali zilizopo katika kata zote za Halmashauri ya Mji wa Geita, Diwani wa Kata ya Nyanguku Mheshimiwa Elias Ngole amesema kuwa upungufu wa vyumba vya madarasa kwa shule zote na ubovu wa mabarabara ambazo zimeharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha ni miiongoni mwa vikwazo vinavyowakabili wananchi walioko kwenye maeneo yao ya utawala.

Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Mji Geita Bi. Magreth Macha amesema kuwa Halmashauri ya Mji Geita itaendelea kukabiliana na changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa kwa kujenga vyumba zaidi kulingana na upatikanaji wa fedha. Kadhalika Mamlaka ya Elimu Tanzania  imeridhia kujenga Mabara moja ya masomo ya sayansi katika Shule ya Sekondari Nyanza.

Katika hatua nyingine Halmashauri ya Mji wa Geita imetenge shilingi 150,000,000/= katika bajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Shiloleli na shilingi 50,000,000/= kwa lengo la kununua maeneo ya kujenga shule mpya ya sekondari ndani ya Kata ya Buhalahala,




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa