• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Maonyesho ya Expo Dubai Yaleta Neema Geita

Posted on: June 15th, 2022

Maonyesho ya Expo Dubai Yaleta Neema Geita

Miezi michache baada ya kupita kwa maonyesho ya kidunia ya Expo Dubai ujumbe wa wawekezaji kutoka Umoja wa falme za kiarabu-Dubai wamefika mkoani Geita hususan Halmashauri ya Mji Geita kwa nia ya kuwekeza katika sekta mbalimbali za kiuchumi.

Wawekezaji hao wakiongozwa na wakili Walid Jumaa wamesema kuwa baada ya kukutana na Mkuu wa Mkoa wa Geita kwenye maonyesho ya Expo Dubai walipata fursa ya kubadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Rosemary Senyamule ambaye aliwakaribisha kuja kujionea fursa mbalimbali zilizopo mkoani kwake.

Wakili Walid Jumaa ameeleza kuwa wamefika Geita kwa lengo la kupafahamu na kujionea maeneo kadhaa ya uwekezaji katika sekta mbalimbali ambapo wakati wa ziara yao Tarehe 14/6/2022 walipata fursa ya kutembelea na kujifunza namna machinjio ya kisasa Mpomvu itakavyofanya kazi mara baada ya ujenzi kukamilika hivi karibuni, namna Soko kuu la Dhahabu Geita mjini linavyochangia katika ukuzaji wa pato la mkoa na Taifa na kutembelea maeneo ya viwanja vilivyotengwa mahsusi kwa shughuli za uwekezaji na viwanda.

Mkuu wa Mkoa wa Geita amesema kuwa wawekezaji hao wameonesha nia ya kuwekeza katika kujenga kituo cha kimataifa cha usuluhishi wa migogoro ya kibiashara,kuwekeza katika sekta ya uchimbaji madini, sekta ya utalii, sekta ya elimu na afya , kukuza sekta ya kilimo na mifugo pamoja na ujenzi wa viwanda vya madawa na chakula katika mkoa wa Geita.

“Baada ya majadiliano na wageni wetu, wameonesha sahuku ya kuifanya Geita kuwa Dubai ya Afrika na kwa dhamira hiyo tarehe ya leo tunasaini kwa pamoja mkataba wa awali wa makubaliano baina yao na Serikali juu ya namna tutakavyoendelea kuibadilisha Geita katika sekta mbalimbali.” Aliongeza Mhe. Rosemary Senyamule.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Uhamasishaji uwekezaji EPZA Ndg. James Maziku amesema kuwa uwepo wa wawekezaji ndani ya mkoa wa Geita kutaongeza ukuaji wa uchumi ndani ya mkoa pamoja na kuzalisha ajira kwa wingi kwa wakazi wa mkoa huo. Kadhalika ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuitambulisha nchi kimataifa na kufungua milango kwa wakezaji kuja kuwekeza Tanzania.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa