• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

MANISPAA YA GEITA IMETOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 1,228,975,000 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: May 15th, 2025

Akizunguma Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii  Ndugu. Robert Sungura amesema jumla ya vikundi 100 vyenye wanachama 503 wanawake wakiwa 387,Wanaume 116 kwenye makundi ya Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu,

Vikundi vya Wanawake 57 wanapatiwa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 550,Vikundi vya Vijana 38 wanapatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya milioni 622 na Vikundi 5 vya watu wenye ulemavu vinapatiwa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 56.

Amesema wameweka mikakati ya kuimarisha mfumo wa usimamizi na ufuatiliaji wa marejesho ili kuendelea kubaini baadhi ya vikundi vyenye viashiria vya kusambaratika hii itasaidia kuchukua hatua kwa wakati pia wanaendelea kutoa elimu ya usimamizi na uendeshaji wa vikundi vya kiuchumi ikiwemo masuala ya ujasiriamali,usimamizi wa fedha,utunzaji wa kumbukumbu na utaftahi wa masoko.

Meya wa Manispaa ya Geita Mhe. Constantine Morandi amesema Manispaa ya Geita inatambua kwa kuona thamani ya Wananchi na wameongeza bidii ya makusanyo na kutenga zaidi ya bilioni moja ambapo katika kuelekea kuadhimisha miaka yao  mitano wanajivunia kuwa sehemu ya mafanikio.

Vikundi 100 vyenye wanachama 503 kupitia uongozi wa samia tunanufaika na mikopo isiyo na riba huko mitaani kuna mikopo ya kausha damu huenda kuna wachache wamekutana nayo na shida za huko mnazijua lakini leo Serikali inawakopesha bila riba na ukirejesha kwa wakati una sifa ya kukopa tena na waitumie mikopo kwa malengo yaliyokusudiwa.

Katibu Tawala Wilaya ya Geita Bi. Lucy Beda amesema wanaptata leo Mkopo wamepitia mchakato wote na kukidhi vigezo na vikundi vyote vimepita kwenye kamati ya uhakiki na tumevitembelea na wako vizuri na wale ambao hawajakidhi masharti basi wafatilie kujua wapi walikwama na kujipanga upya.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba ameipongeza Manispaa ya Geita kwa kutekeleza vema utoaji wa mikopo kwa kiasi  kikubwa mikopo ambayo inatoa fursa ya kuwawezesha wajasiriamali kiuchumi waweze kuendesha maisha yao.

Mikopo hii ni maono ya Mhe shimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kujenga Wananachi watakaoweza kujitegemea katika maisha yao na wahakikishe wanajijenga kiuchumi na wakikopeshwa zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa.

Aidha ameitaka Manispaa kwa kikundi kitachofanya vizuri na kurejesha bila shida na kwa kwa uaminifu wawape mikopo zaidi ili wajiendeshe kwa tija na kuleta mabadiliko makubwa katika jamii na pia waje na miradi mikubwa ya kuajiri watu wengi zaidi ili fedha hizi ziwe sehemu ya kuongeza tija za ajira.

Nao wafaidika wa mikopo wameishukuru Serikali kwa kuwapa mikopo isiyo na riba na kuahidi kuitumia kwa malengo waliyokusudia.

MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA









TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa