• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Madiwani Geita Mji Wapatiwa Elimu ya Vishikwambi

Posted on: May 24th, 2024

Madiwani Geita Mji Wapatiwa Elimu ya Vishikwambi

Madiwani wote wa  Halmashauri ya Mji Geita wamepata mafunzo ya matumizi ya vishikwambi (Tablets) kwa ajili ya shughuli mbalimbali katika kata zao ikiwa ni pamoja na kutumika katika vikao mbalimbali vya kisheria vinavyofanyika.

Akitoa mafunzo hayo hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri Magogo, Kaimu Mkuu wa kitengo cha TEHAMA Halmashauri ya Mji Geita Bi. Hamida Abdulkhrarim amewasisitiza waheshimiwa Madiwani kuwa vikao vyote vya kisheria vitafanyika kwa kutumia teknolojia ya kidijitali kupitia vishikwambi hivyo na kuwashauri kufanya mazoezi ya mara kwa mara ili wapate uzoefu wa kuvitumia.

Afisa TEHAMA wa Geita Mji ameongeza kuwa Waheshimiwa Madiwani wanapaswa  kutumia wenyewe vishikwambi na kuacha mazoea ya kuwapatia watu wengine ili kuepusha uharibifu utakaojitokeza ikiwepo kuvunjika, kupotea na kuweka taarifa za vikao katika mazingira salama.

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndg. Yefred Myenzi amewashukuru Serikali mtandao na kusema kuwa mfumo unaotumika katika vishikwambi hivyo ni salama kabisa na utasaidia kutunza taarifa kwa muda mrefu tofauti na kutumia makablasha kama awali ambapo makaratasi yalikuwa rahisi kuchanika na kupotea, hivyo Madiwani wanatakiwa kujifunza kwa moyo mkunjufu ili kuelewa vyema zaidi matumizi ya vifaa hivyo.

“Vishikwambi vitasaidia kupunguza gharama za uendeshaji kwa taasisi ikiwemo kupunguza gharama za uendeshaji wa vikao kwa kutumia vifaa vya TEHAMA vinavyotumia nyaraka laini badala ya nyaraka ngumu kama karatasi.” Aliongeza Mkurugenzi Myenzi.

Kwa upande wao Waheshimiwa Madiwani wamefurahi kupata elimu hiyo ambapo wataendelea kujifunza zaidi ili wawe wabobezi  na kuahidi kutunza kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali ili viweze kutumika kwa lengo lililokusudiwa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa