• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Machinjio ya Kisasa Mpomvu Kuwainua Wananchi Kiuchumi

Posted on: June 30th, 2022

Machinjio Ya Kisasa Mpomvu Kuwainua Wananchi Kiuchumi

Ujenzi wa Machinjio ya kisasa Mpomvu katika Halmashauri ya Mji wa Geita ambao uko katika hatua za ukamilishaji utawanufaisha wananchi wa Geita na maeneo ya Jirani kwa kupata ajira mbalimbali ndani ya machinjio hayo, upatikanaji wa kitowewo na usafirishaji, Ngozi kwa ajili ya viwanda, mradi wa gesi kutokana na kinyesi cha ng’ombe nk.

Tathimini hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Senyamule hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Rosemary Senyamule wakati wa hafla ya kumpongeza Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuuwezesha Mkoa wa Geita kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 416 za kitanzania.

Mhe. Senyamule pia amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta neema ya mradi mkubwa wa maji katika mji wa Geita na baadhi ya kata za Halmashauri ya Wilaya ya Geita, mradi ambao utamtua mama ndoo kichwani kwa kuondoa kabisa kero ya maji kwa wananchi wa mji wa Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Wilson Shimo amesema kuwa ujenzi wa vyumba 415 vya madarasa katika wilaya yake ambavyo vimejengwa kwa fedha za UVIKO-19 umewezesha kupunguza kabisa msongamano wa wanafunzi mashuleni na kuwarahisishia walimu kazi ya kufundisha idadi ya wanafunzi katika uwiano unaotakiwa.

Mhe. Shimo amemshukuru mama Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuipatia wilaya ya Geita Zaidi ya shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika majimbo yote matatu ya uchaguzi ndani ya wilaya yake. Kadhalika amempongeza Rais kwa kufufua ujenzi wa chuo cha ufundi stadi VETA mjini Geita, ujenzi ambao ulikuwa umesimama kwa kipindi kirefu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Bi. Zahara Michuzi ametoa shukrani za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupokea Zaidi ya shilingi Bilioni 10 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo ya barabara, zahanati na vituo vya afya, Shule mpya ya Sekondari kupitia mradi wa SEQUIP, mikopo kwa makundi maalum, fedha za TASAF, Vyumba vya madarasa na ujenzi wa uwanja wa michezo Geita mjini.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa