• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Posted on: December 1st, 2021

Watumishi wa Halmashauri ya Mji Geita watakiwa kuchukua tahadhari na kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Hayo yamebainishwa leo tarehe 01 Disemba 2021 katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Geita yaliyohusisha Watumishi wa Halmashauri ya Mji Geita na wadau mbalimbali kama wawezeshaji.

Akifungua maadhimisho hayo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita ambaye alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo Bw. Lee Joshua aliwasihi watumishi kutokufanya ngono zembe mfano kufanya ngono pasipo matumizi ya kinga na ameshauri watumishi kupima afya zao mara kwa mara.

Akiongelea kuhusiana na maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa kufanya ngono zembe Bi. Amina Nghombo ambaye ni muwezeshaji kutoka Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Geita amesema mambo yanayoweza kusababisha maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ni pamoja na unywaji wa pombe (unapoteza kumbukumbu na kufanya mtu kushindwa kujizuia kutokana na kilevi kilichomo).

Pia Bi. Amina ameelezea kuwa kufanya tohara (kutahiri) kunasaidia kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Tume ya kuthibiti UKIMWI Tanzania (TUCAIDS) inaratibu maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani, ambayo hufanyika kila mwaka Disemba Mosi.

Madhumuni ya maadhimisho haya ni kutathmini hali na mwelekeo wa udhibiti UKIMWI Kitaifa na Kimataifa. Aidha, siku hii hutumika kuhamasisha na kuelimisha Jamii juu ya namna ya kujikinga na maambukizi mapya ya VVu, matumizi sahihi ya ARV kwa watu wanaoishi na VVu pamoja na kupinga unyanyapaa na ubaguzi.

Kauli mbiu ya maadhimisho haya ya mwaka huu ni ”ZINGATIA USAWA TOKOMEZA UKIMWI, TOKOMEZA MAGONJWA YA MLIPUKO”


BOFYA HAPA KUONA MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI May 10, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi Wahimizwa Kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

    June 23, 2022
  • Maonyesho ya Expo Dubai Yaleta Neema Geita

    June 15, 2022
  • Wakurugenzi Waagizwa Kutenga Bajeti za Madampo

    June 07, 2022
  • Wakurugenzi Waagizwa Kutenga Bajeti za Madampo

    June 07, 2022
  • Zaidi

Video

Mtakuja Inayomeremeta
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa