• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Kitalu nyumba cha Mfano chajengwa Geita Mji

Posted on: February 22nd, 2019

Kitalu nyumba cha Mfano chajengwa Geita Mji

Idara ya Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji kwa kushirikiana na Mkandarasi wamefanikiwa kujenga kitalu nyumba( green house) ya mfano ambayo itatumika kuwafundisha vijana walio chini ya umri wa miaka 35 juu ya umuhimu na faida ya kulima mazao ya mbogamboga katika kitalu nyumba.

Akizungumzia faida za kilimo cha kitalu nyumba wakati wa mazungumzo baina yake na mwandishi wa habari hii katika eneo ambapo kitalu nyumba kinajengwa, Afisa kilimo wa Halmashauri ya Mji wa Geita Bw. Samwel Ng’wandu  amesema kuwa kilimo cha kitalu nyumba husaidia mazao kujikinga dhidi ya wadudu na  magonjwa kutoka nje pia mkulima hupata faida kubwa kupitia kilimo cha muda mfupi katika eneo dogo.

Bw. Samwel Ng’wandu ameongeza kuwa kilimo cha kitalu nyumba hutunza unyevu kwenye ardhi kwa muda uliokusudiwa katika kukuza mimea. Kadhalika kilimo hicho hutumia madawa kidogo kwa ajili ya kukinga mimea dhidi ya magonjwa tofauti na matumizi makubwa ya madwa kwa kilimo cha eneo la wazi (open field).

Kwa upande wake Mratibu wa kitalu nyumba katika Halmashauri ya Mji wa Geita Bi. Lenaida Baitani amesema kuwa matarajio ya Idara yake ni kuwa baada ya mafunzo kukamilika vijana watakaolengwa wataweza kutengeneza  vitalu nyumba vyao kwa kutumia vifaa vya ujenzi vitakavyokuwa na gharama watakazozimudu. Pia mafundi waliotengeneza kitalu nyumba cha mfano watapata ajira ya kutengeneza vitalu nyumba vingine katika maeneo  yao.

Mkandarasi aliyeshinda zabuni ya ujenzi wa vitalu nyumba vya mfano katika Mkoa wa Geita  Ndg. Boniface Mwanje ameeleza kuwa kitalu nyumba kilichojengwa katika makao makuu ya Halmashauri ya Mji kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 12 za kitanzania. Kitalu nyumba hicho kina upana wa inchi 8 na urefu inchi 30 ambacho kinataraji kukamilika mapema mwezi machi mwaka 2019 na kitadumu kwa zaidi ya miaka kumi.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa