• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE GEITA MJI

Posted on: July 24th, 2024

Idara ya Afya kupitia kitengo cha huduma za lishe kinaendelea kutekeleza shughuli zote zilizopo kwenye mkataba wa lishe  na kuboresha huduma za afya kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya lishe bora kwa watoto chini ya umri wamiaka mitano (5).

Katika kuhakikisha lengo linafikiwa, Kitengo cha huduma za Lishe kimeweka malengo mathubuti kama, kufanya ukaguzi wa chakula, kufanya ukaguzi na usimamizi shirikishi vituoni, utekelezaji wa mpango wa upatikanaji wa chakula mashuleni, elimu ya lishe kwa wajawazito, kufanya upimaji wa hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano na kutoa matibabu ya utapiamlo, kuhamasisha matumizi ya unga wa virutubisho shuleni, na kuongeza utoaji wa nyongeza ya matone ya vitamini A na dawa za minyoo kwa Watoto wa umri chini ya miaka mitano (5).

Hata hivyo Kitengo cha Huduma za Lishe kimepata mafanikio mengi katika kipindi cha robo ya Aprili hadi Juni 2024.

Kwanza, Kufanya na kushiriki maadhimisho ya siku ya Afya na lishe katika kata za Buhalahala, Nyankumbu, Kalangalala na Kasamwa, ambapo elimu ya Lishe ilitolewa kwa kuonesha makundi ya vyakula, kufanya jiko darasa na kupima hali ya lishe kwa Watu wote.

Kushiriki katika mwezi wa Afya na lishe na kufanya uzinduzi wa kampeni ya utoaji wa nyongeza ya matone ya vitamini A ambapo katika kampeni hiyo waliweza kufikia jumla ya Watoto 66,574 sawa na asilimia 119.5.

Pia Kitengo cha Huduma za  Lishe kimeshiriki katika maadhimisho na mikutano mbalimbali katika kada za Afya, Elimu na Dini, kama madhimisho ya wiki ya elimu, siku ya Mtoto wa Afrika na mikutano ya dini.

Aidha katika mwaka wa fedha 2024/25, Kitengo cha Huduma za Lishe kimepanga kununua vibao 12 vya kupimia urefu ili kutatua changamoto ya vipimo pamoja na kuendelea kuhamasisha na kushirikisha wadau mbalimbali kuhusu umuhimu wa lishe kwa kwa Watoto.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa