• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Kamati Ya Siasa Wilaya Ya Geita Yaridhishwa na Miradi Geita Mji

Posted on: January 26th, 2023

Kamati Ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Miradi Geita Mji

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Geita wameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kwa usimamizi bora wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa zahanati, vyumba vya madarasa na utoaji mikopo isiyo na riba kwa makundi maalum.

Pongezi hizo zimetolewa hivi karibuni wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha miezi sita kuanzia Julai 2022 hadi Disemba 2023.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Geita Barnabas Mapande ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwajali wananchi wake na kutoa fedha ambazo zimetumika katika ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vyumba vipya 71 vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 na ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalum.

‘’ Napenda kutumia fursa hii kuwasihi watendaji wote wa Serikali kuhakikisha mnasimamia matumizi sahihi ya fedha zinazoletwa na Serikali kwa kujenga majengo yenye ubora uliotarajiwa. Kadhalika nawaomba ndugu zangu wa wilaya ya Geita kuendelea kujitolea nguvu kazi katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo Serikali yetu tukufu inatoa fedha  kwa lengo la kuboresha Maisha ya kila mtanzania.” Aliongeza Ndg. Mapande.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Wilaya ya Geita Bi. Naomi Fujo ameipongeza Serikali kupitia Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya mkopo kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ambao wanafanya shughuli mbalimbali za kujikwamua kiuchumi. Bi. Naomi amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kufanya kazi kwa bidi na uaminifu ili waweze kufanya marejesho kwa wakati.

Miradi iliyotembelewa na Kamati ya Siasa Wilaya ni pamoja na ujenzi wa madarasa mapya tisa katika Shule ya Sekondari Mkolani, bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalum Shule ya Msingi Kasamwa, Zahanati ya Nyakahengele, upanuzi wa chanzo cha maji Nyankanga  na  kutembelea vikundi viwili vilivyonufaika na mikopo isiyo na riba kutoka Halmashauri ya Mji Geita ambavyo ni kikundi cha vijana Maisha Kata ya Nyankumbu ambacho kinajishughulisha na utengenezaji wa mikanda ya Gypsum na Kikundi cha wanawake Tema kinachopatikana katika Kata ya Kalangalala na kinajishughulisha na utengenezaji wa mvinyo wa asili kwa kutumia ndizi mbivu.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI February 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA MACHINJIO August 16, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Bilioni 9.8 Kutekeleza Miradi Geita Mji Kupitia CSR

    March 22, 2023
  • Wanawake Watakiwa Kuwa Vinara Kupinga Ukatili

    March 10, 2023
  • Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wa Wanachama

    February 23, 2023
  • Madiwani Geita Mji Wafanya Ziara Ya Mafunzo Chalinze

    February 16, 2023
  • Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MACHINJIO YA KISASA MPOMVU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa