• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Kamati Ya Siasa Mkoa Yamwagiza Mkandarasi Kukabidhi Barabara

Posted on: June 23rd, 2021

Kamati Ya Siasa Mkoa Yamwagiza Mkandarasi Kukabidhi Barabara

Kamati ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Geita imemtaka Mkandarasi Civmark Company Limited wa Dar es Salaam aliyepewa zabuni ya kutengeneza barabara ya Upendo dispensary –American chips yenye urefu wa km 0.35 inayojengwa kwa kiwango cha lami kukabidhi barabara hiyo ifikapo tarehe 30 Juni 2021.

Agizo hilo limetolewa hivi karibuni wakati wajumbe wa kamati hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Mheshimiwa  Alhaj Said Kalidushi walipotembelea kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya mji Geita.

Mhe. Alhaj Kalidushi amefafanua kuwa kazi inayofanywa na mkandarasi huyo imekuwa ikisuasua sana ambapo barabara  imetengenezwa kwa kipindi cha takribani miezi sita, hali inayopelekea wananchi wa eneo jirani na barabara hiyo hususan wafanyabiashara wa maduka ya nguo na bidhaa nyinginezo kupata adha ya  vumbi kali kutoka kwenye barabara hiyo.

Kamati ya Siasa Mkoa pia imetoa pongezi za dhati kwa Halmashauri ya Mji wa Geita kwa ujenzi wa bweni la kisasa la wasichana katika shule ya Sekondari Bulela ambalo limejengwa kwa shilingi milioni 120 kutoka katika vyanzo ambavyo ni  mfuko wa jimbo, CSR kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita na mapato ya ndani ya Halmashauri.

Kwa upande wake Katibu wa CCM Mkoa wa Geita Bi. Rahel Ndegeleke ameushauri uongozi wa shule ya Bulela kuhakikisha mwezi Julai wanafunzi watakapofungua shule wasichana 80 waanze kutumia hosteli hiyo ili wanafunzi wanaotokea katika vijiji vya Gamashi ,Igwata, Bumanji na Nyambogo wanapata adha ya kutembea umbali mrefu kufika shuleni waondokane na kero hiyo.

Akizungumza mbele ya wajumbe wa kamati hiyo walipomtembelea nyumbani kwake katika mtaa wa Mbugani kata ya Kalangalala Bi. Janeth Francis ambaye ni mjane anayenufaika na mradi wa kunusuru kaya maskini chini ya mfuko wa TASAF ametoa shukrani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumwezesha fedha ambayo ameitumia kuwanunulia mahitaji ya shule watoto wake watatu, kukarabati nyumba anayoishi na kuchimba kisima kifupi cha maji.

Miradi mingine iliyotembelewa na kamati hiyo ni pamoja na utendaji kazi wa soko kuu la wajasiriamali Katundu na ujenzi wa miundombinu ya maji na umeme katika kijiji cha Shinamwendwa kata ya Nyanguku



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa