• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Kamati Ya Siasa Mkoa Yakoshwa na Miradi Geita Mjini

Posted on: February 6th, 2023

Kamati Ya Siasa Mkoa Wakoshwa Na Miradi Geita Mji

Wajumbe wa Kamati ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Geita wametoa pongezi kwa uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambao unaridhisha.

Pongezi hizo zimetolewa hivi karibuni na wajumbe hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Geita Nicholaus Kasendamila walifanya ziara ya kikazi kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM katika miradi mbalimbali iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa  katika maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Mji Geita.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita ametoa pongezi kwa kikundi cha vijana Upendo wanaojishughulisha na uchomeleaji vyuma ambao wamekopeshwa mkopo usio na riba kutoka serikalini ambao umewawezesha kuimarisha biashara yao inayowaingizia kipato na kuwakwamua kiuchumi.

“Hongereni sana kwa uaminifu na uadilifu mlioonyesha na kutumia fedha mlizokopeshwa na halmashauri katika malengo mliyojipangia tofauti na wanavikundi wengine ambao wakishapatiwa mikopo hiyo wanagawana na kila mmoja anakwenda kuzalisha fedha hizo kwa shughuli zake binafsi.” Aliongeza Ndg. Nicholaus Kasendamila.

Wajumbe wa Kamati ya siasa Mkoa wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwajali watanzania na kutoa fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawanufaisha wananchi katika sekta mbalimbali kama elimu, afya, kilimo na mifugo, maji, nishati nk.

Miradi mingine iliyotembelewa na kamati ya siasa mkoa ni pamoja na upanuzi wa kituo cha afya Nyankumbu, ujenzi wa uwanja wa michezo Geita mjini, ukaguzi wa mradi wa maduka ya CCM na uwanja wa maonesho pamoja na kutembelea makundi maalum yanayojishughulisha na shughuli za kiuchumi ambao wamekopeshwa na Halmashauri ya Mji Geita.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa