• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO

Posted on: February 3rd, 2025

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita na Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uongozi ambaye pia ni Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Mtakuja Mhe. Costantine Morandi Mtani leo tarehe 03 Februari, 2025 ameongoza wajumbe wa kamati ya fedhana uongozi kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita.

Kamati ya fedha na uongozi wakikagua ujenzi wa Daraja katika Kata ya Shiloleli

Kamati hiyo ikijumuisha baadhi ya Waheshimiwa na Wakuu wa Idara na Vitengo wametembelea na kukagua ujenzi wa Daraja katika Kata ya Shiloleli, ukamilishaji wa chumba cha darasa katika shule ya Msingi Gamashi iliyopo Kata ya Bulela, ukamilishaji wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Zahanati ya Gamashi iliyopo Kata ya Bulela, kutembelea na kukagua ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na nyumba ya Mganga wa Zahanati (2 in 1) katika Zahanati ya Mwagimagi iliyopo katika Kata ya Nyanguku na kutembelea na kukagua mradi wa uzalishaji wa tofari unaomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Geita.

Kamati ya fedha na uongozi wakikagua ukamilishaji wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Zahanati ya Gamashi iliyopo Kata ya Bulela


Kamati ya fedha na uongozi wakikagua ukamilishaji wa chumba cha darasa katika shule ya Msingi Gamashi iliyopo Kata Bulela

Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi walipongeza  wasimamizi wa miradi kwa usimamizi wao mzuri na waliagiza uongozi wa Halmashauri Manispaa kuongeza usimamizi wa karibu kwa miradi yote ya maendeleo kupitia wataalam wake mbalimbali.

Nyumba ya Mganga wa Zahanati (2 in 1) katika Zahanati ya Mwagimagi iliyopo katika Kata ya Nyanguku

Kamati ya fedha na uongozi wakikagua ujenzi jengo la nyumba ya Mganga wa Zahanati (2 in 1) katika Zahanati ya Mwagimagi

Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Zahanati ya Mwagimagi iliyopo katika Kata ya Nyanguku ukiwa katika hatua ya msingi

Mradi wa uzalishaji wa tofari unaomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Geita

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa