• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

KAIMU MKURUGENZI MANISPAA YA GEITA NDUGU SOSTENES MBWILO NA TIMU YA WATAALAMU WAMETEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI 11 YA CSR

Posted on: April 17th, 2025

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita Ndg. Sostenes Mbwilo leo tarehe 17 Aprili, 2025 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa kupitia wajibu wa kampuni kwa jamii (Corporate Social Responsibility - CSR) katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita.

Katika ziara hiyo, Kaimu Mkurugenzi aliambatana na Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi wa Halmsahauri Ndg. Mhina, Kaimu Mhandisi Ndg. Josiah Salaa, Kaimu Mkuu Mkuu wa Idara ya Mipango na Ufuatiliaji Ndg. Egnus Domition, Mkadiriaji Majengo Bi. Doreen Mollel na Afisa Ugavi Josephat Gombeye.

Miradi kumi na moja (11) imeweza kufikiwa, kutembelewa na kukaguliwa na Kaimu Mkurugenzi pamoja na timu yake aliyoongozana nayo kama ifuatavyo;

Ametembelea na kukagua ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika zahanati ya Bombambili iliyopo katika kata ya Bombambili. 

Ujenzi jengo la maabara katika shule ya Sekondari ya Bombambili iliyopo katika kata ya Bombambili na mradi huu upo hatua ya umaliziaji kwa kuweka mifumo ya “gas”

Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na ujenzi wa nyumba ya Mtumishi katika zahanati ya Buhalahala iliyopo katika Kata ya Buhalahala.

 Ujenzi wa miradi hii ipo katika hatua mbalimbali za umaliziaji (finishing).

Ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari Kisesa Geita iliyopo katika Kata ya Kalangalala ambapo mradi huu pia upo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji. Aidha amekagua mradi wa vyoo vya wanafunzi ambavyo tayari vilishakamilika na kuanza kutumika.

Ametembelea na kukagua ujenzi wa ukamilishaji wa jengo la maabara katika zahanati ya Nyakabale iliyopo katika Kata ya Mgusu ambapo mradi huu upo hatua za mwisho kwa ajili ya kuanza kutumika.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari Mgusu iliyopo katika Kata ya Mgusu ambapo mradi huu upo katika hatua za ukamilishaji wa ufungaji wa milango.

Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika zahanati ya Mgusu iliyopo katika Kata ya Mgusu. Ujenzi wa mradi huu upo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji wa marekebisho madogo madogo na ambapo jengo hili tayari limeshaanza kutoa huduma kwa wananchi.

Ujenzi nyumba ya Mtumishi katika zahanati ya Mgusu iliyopo katika Kata ya Mgusu. Ujenzi wa miradi huu umekamilika na watumishi wanaishi.

Ukamilishaji wa majengo ya shule ya msingi Samina iliyopo katika Kata ya Mtakuja ambapo mradi huu upo hatua za mwisho na madarasa husika yameshaanza kutumika.

Kaimu Mkurugenzi alikamilisha ziara yake kwa kutembelea na kukagua ukamilishaji wa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na nyumba ya mtumishi katika zahanati ya Bwihegule iliyopo katika Kata ya Mtakuja.

pamoja na kuwapongeza wasimamizi wa miradi yote hiyo pia amewaagiza wasimamizi hao kuhakikisha wanawasimamia mafundi ili waweze kuongeza kasi katika kuhakikisha wanaikamilisha na kuikabidhi mapema miradi ambayo haijakamilika ili ianze kutoa huduma kama inavyotakiwa na katika viwango sahihi.

Aidha, Kaimu Mkurugenzi amesema anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za maendeleo anazozileta Katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa