• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Jamii Yatakiwa Kuwalinda Watoto Dhidi Ya Ukatili

Posted on: June 20th, 2023

Jamii Yatakiwa Kuwalinda Watoto Dhidi ya Ukatili

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Cornel Magembe amewakumbusha wazazi/walezi mkoani Geita kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kikamilifu katika malezi ya Watoto na kuwalinda dhidi ya vitendo vya kikatili vinavyoendelea katika jamii.

Mhe. Cornel Magembe ametoa kauli hiyo Tarehe 16 Juni 2023 alipokuwa akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika kimkoa katika Shule ya Msingi Uwanja Geita mjini.

Mkuu wa Wilaya ya Geita amesema kuwa ni wajibu wa wazazi au walezi kuhakikisha Watoto wanasoma vyema, wanapatiwa chakula,huduma za afya na kutokomeza mila kandamizi zinazopelekea kuwepo kwa ndoa za utotoni,ubakaji, ulawiti, ajira za Watoto na ukatili wa aina yoyote.

Akisoma risala kwa niaba ya watoto wa mkoa wa Geita Mwenyekiti mstaafu wa Baraza la Watoto mkoa wa Geita Joseph Mkombozi amesema kuwa Watoto mkoani Geita bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo baadhi ya wazazi kuwatumia Watoto kama kitega uchumi kwa kuwaagiza kuingia mtaani kuomba fedha au kufanya biashara ndogondogo na kukosa nafasi ya kupata malezi ya wazazi baada ya kuonekana katika ulimwengu wa sasa wazazi na walezi wengi wamebanwa na shughuli za kujitafutia kipato Zaidi kuliko kuzungumza na Watoto wao.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu Mkoa wa Geita Magembe Jackson amesema kuwa kumekuwa na ongezeko la wimbi la Watoto wa mtaani Pamoja na wazazi/ walezi kutoonyesha ushirikiano kwa wadau wanaosimamia afua za Watoto pindi wanapowafanyia ukatili kutambuliwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Kupitia maadhimisho hayo Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za mtoto likiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo Bi. Paulina Majogoro wametoa vifaa mbalimbali ikiwemo baiskeli za magurudumu kwa Watoto 20 wenye mahitaji maalum, sare za shule sambamba na kufanikisha Watoto 2,000 kupata vyeti vya kuzaliwa.

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuwakumbusha wazazi/ walezi na jamii juu ya malezi, ulinzi wa Watoto na kuwatimizia  haki zao za msingi. Maadhimisho yam waka huu yaliongozwa na kauli Mbiu isemayo “Zingatia Usalama wa Mtoto katika Ulimwengu wa kidigitali.”

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa