• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Halmashauri Zaagizwa kusimamia matumizi ya Vitabu

Posted on: December 24th, 2018

Halmashauri Zaagizwa Kusimamia Matumizi ya Vitabu

Halmashauri sita za Mkoa wa Geita ambazo ni Mbogwe, Nyang’hwale, Bukombe, Chato, Geita Mji na Geita Wilaya zimetakiwa kuhakikisha vitabu vinavyotolewa na Serikali kwa ajili ya wanafunzi  vinafikishwa katika shule husika na vinagawanywa kwa walengwa.

Agizo hilo limetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia  Dkt. AveMaria Semakafu wakati wa uzinduzi wa kitaifa wa usambazaji wa vitabu vya kiada na kiongozi cha mwalimu darasa la tano. Uzinduzi uliofanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu Geita Mjini tarehe 22/12/2018.

Dkt. AveMaria Semakafu amesema kuwa kumekuwa na tabia ya baadhi ya walimu wakuu na viongozi katika ngazi za Mikoa na Halmashauri kuvihifadhi vitabu kwenye makabati na stoo badala ya kuwapa wanafunzi vitabu hivyo wajisomee . “ Cheo ni dhamana, wahusika wote katika kamati za usambazaji  wa vitabu mhakikishe vitabu vinafika mahali husika na si kufungiwa makao makuu ya Mkoa  au Halmashauri”. Aliongeza Dkt. Semakafu

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu  alibainisha umuhimu wa vitabu hivyo kuwa ni kuwawezesha wanafunzi kupata muda binafsi  wa kujisomea  baada ya masomo darasani kwa lengo la kuongeza udadisi na ujuzi zaidi. Pia aliwataka walimu wakuu kutoa taarifa katika ngazi zinazohusika endapo vitabu havitafika shuleni kwa muda muafaka.

Dkt. AveMaria Semakafu alitumia fursa hiyo kuwapongeza viongozi wa  Mkoa wa Geita kwa mkakati wa Mkoa katika kuhakikisha miundombinu inatosheleza wanafunzi  kwa kuongez a vyumba vya madarasa. Kadhalika aliwasihi wazazi na wakazi wote wa Mkoa wa Geita kujitolea kujenga vyumba vya madarasa katika shule za Sekondari ili kuondokana na uhaba wa miundombinu katika shule za Sekondari.

Kwa upande wake Mkurugenzi  Mkuu  wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba ameeleza kuwa shughuli ya uandishi wa vitabu ilianza mwezi Februari 2018 ambapo jumla ya nakala 166,737 kwa masomo saba na viongozi vya mwalimu 14,273 zitatolewa kwa Mkoa wa Geita. Pia katika awamu ya kwanza mikoa ya Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza na Geita  itapata vitabu na kufikia mwezi Januari 2019 zoezi la usambazaji litakuwa limekamilika katika mikoa iliyosalia.

Jumla ya zaidi ya Shilingi Bilioni 6.8 za kitanzania kutoka katika mapato ya ndani ya Serikali zimetumika kuchapa na kusambaza vitabu zaidi ya nakala milioni 3.5 kwa nchi nzima katika uwiano wa kitabu kimoja kutumiwa na wanafunzi watatu.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO MAALUMU WA BARAZA WA KUJADILI MAJIBU YA HOJA NA MAPENDEKEZO YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    June 11, 2025
  • BILIONI 19.1 KUTEKELEZA UJENZI KITUO KIKUU CHA MABASI MANISPAA YA GEITA

    June 06, 2025
  • WATUMISHI GEITA MANISPAA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    June 05, 2025
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA GEITA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MITANDAO YA KIJAMII YENYE TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

    June 04, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa