• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Halmashauri ya Mji Geita yakabidhi Mkopo kwa Vikundi

Posted on: May 3rd, 2018

Vikundi 28 vyawezeshwa na Halmashauri ya Mji Geita

Vikundi 20 vya wanawake na 8 vya vijana vinavyojishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi vimeongezewa nguvu na Halmashauri ya Mji wa Geita baada ya kukabidhiwa hundi zenye jumla ya Shilingi 133,000,000/=( milioni mia moja na thelathini na tatu) ambazo ni uwezeshaji wa wananchi kupitia mfuko wa maendeleo ya vijana na wanawake.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya fedha hizo kwa vikundi hivyo tarehe 2/5/2017 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ameipongeza Halmashauri ya Mji Geita kwa kutekeleza kikamilifu agizo la Serikali la kuhakikisha wanatumia asilimia 10 ya makusanyo  yao kuboresha utekelezaji wa shughuli za vikundi vya wanawake na vijana.

Mkuu wa Mkoa wa Geita amewaasa wanavikundi waliopewa mkopo huo kutumia fedha hizo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi wanazofanya na si kwa matumizi mengineyo ambayo hayakuwepo kwenye mpango. Pia waendelee kutumia elimu ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo( SIDO) ili washauriwe kufanya shughuli ambazo zitawakwamua kiuchumi.

“Acheni mawazo ya kudhania fedha za mkopo mnazopewa ni zawadi ambazo mnaweza kutumia mnavyopenda, bali mnatakiwa kuzitumia fedha hizo katika shughuli za uzalishaji na kuzirejesha kwa wakati ili ziweze kukopeshwa kwa vikundi vingine”. Kauli aliyotoa Mbunge wa Geita Mjini, Mheshimiwa Costantine J. Kanyasu wakati wa hafla ya makabidhiano ya mkopo.

Kwa upande wa mwakilishi wa wakopaji, Makamu Mwenyekiti wa kikundi cha Neema  kutoka mtaa wa Mbugani katika kata ya Kalangalala Bi. Naomi John ameishukuru Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kuwapatia mkopo ambao wamefuatilia kwa kipindi kirefu pasipo mafanikio. Amesema kuwa watatumia mkopo huo kuendeleza biashara yao ya duka la vitenge kutoka duka la rejareja kuwa la jumla.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Mhandisi Modest Apolinary amesema kuwa Halmashauri imekuwa ikiviwezesha vikundi kukuza mitaji yao ili waweze kutekeleza shughuli za kiuchumi kwa ufanisi kwa kupewa mikopo yenye riba nafuu. Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 mikopo yenye thamani ya Shilingi 175,000,000 imeshatolewa kwa vikundi vya vijana na wanawake.

Mhandisi Modest Apolinary ameongeza kuwa Halmashauri inaendelea kuwachukulia hatua za kisheria wadaiwa sugu ambao wameshindwa kurejesha fedha kwa wakati ili kuhakikisha fedha inayotolewa kwa vikundi husika inatumika kwa mujibu wa taratibu na kurejeshwa ziweze kukopwa na vikundi vingine.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa