• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita yaibuka kidedea mashindano ya Olimpiki maalum

Posted on: December 29th, 2017

Geita Yaibuka kidedea katika Olimpiki maalum

Wanafunzi watano walioshiriki Mashindano yanayowashirikisha watu  wenye ulemavu wa akili yanayofahamika kama Olimpiki maalum( special Olympics) yaliyofanyika Mjini Zanzibar hivi karibuni wameibuka na ushindi ambapo wanafunzi watatu kutoka katika Shule tano zinazofundisha elimu maalum katika Halmashauri ya Mji Geita wamepata medali za dhahabu, shaba na fedha.

Mwanafunzi Mathias Donald kutoka Shule ya Msingi Mbugani amerejea na medali tatu ambapo aliibuka mshindi wa kwanza katika mchezo wa riadha mita 400 na mchezo wa kuruka na kupata medali mbili za dhahabu, na mshindi wa pili riadha mita 800 na kupewa medali ya shaba kati ya washiriki 600 kutoka Tanzania nzima walioshiriki katika mashindano hayo.

Akiongea wakati wa hafla fupi ya  kuwapongeza wanafunzi hao iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Geita, Afisa Elimu Mkoa wa Geita Bi. Rehema Mbwilo ametoa pongezi kwa watoto walioibuka washindi kwa kujituma kikamilifu na kuuletea heshima kubwa Mkoa wa Geita kutokana na ushindi hususani mshindi wa kwanza katika mchezo wa riadha.

Afisa Elimu Mkoa pia amemshukuru Mkurugenzi wa Mji Geita kwa kutambua umuhimu wa watoto wenye ulemavu wa akili kushiriki michezo hiyo kwa kuwagharamia wanafunzi hao waliowakilisha timu ya Mkoa wa Geita.

Bi. Mbwilo ametumia fursa hiyo kuwashauri wazazi wa watoto wenye ulemavu wa akili kuwapeleka shule watoto wao ili kuwapa haki ya elimu. “ Mwitikio wa wazazi kuwapeleka shule watoto wenye ulemavu katika Mkoa wa Geita bado ni mdogo kwani idadi ya watoto walioko shule ni ndogo ikilinganishwa na idadi ya watoto ambao wamefungiwa majumbani. Watoto hawa wakielimishwa watajitambua na watajifunza fani mbalimbali za ufundi stadi, hivyo msiwanyime fursa hiyo muhimu kwao”. Aliongeza Afisa Elimu Mkoa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita, Mhandisi Modest Apolinary amewapongeza vijana hao kwa ushindi hodari na kuahidi kuendelea kushirikiana nao kikamilifu katika kuibua vipaji walivyojaliwa. Pia amewaahidi kuwa Halmashauri kwa kushirikiana na wafadhili mbalimbali watajitahidi kukamilisha bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Mbugani na kuwapatia mahitaji muhimu ya kujifunzia ili watambue kuwa wao ni watu wa muhimu katika jamii waliyomo.

Jumla ya wanafunzi watano kutoka katika shule zinazofundisha elimu maalum katika Halmashauri ya Mji Geita waliuwakilisha Mkoa wa Geita katika mashindano ya Olimpiki maalum mjini Zanzibar hivi karibuni yakiwa na lengo la kuwapa fursa watu wote wenye ulemavu wa akili kujiona ni raia wenye manufaa, pia kuwa wazalishaji wanaokubalika na kuheshimika katika jamii zao.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa