• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

GEITA MJI YAZINDUA UPANDAJI WA MITI

Posted on: November 24th, 2021

Halmashauri ya Mji Geita imezindua upandaji miti kwenye kwenye maneo ya Ofisi ya Halmashauri ya Mji Geita leo tarehe 24.11.2021.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Wilson Simon Shimo ambaye ni mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo amepongeza juhudi za Halmashauri kwenye upandaji na utunzaji wa miti pamoja na utunzaji wa mazingira na kuagiza kuhakikisha miti iliyopanda inalindwa na kutunzwa ili iendelea kukua.

Aidha Mhe. Shimo amemwagiza Afisa Maliasili wa Halmashauri kusimamia sheria ili kuhakikisha misitu pamoja na vyanzo vya maji vinalindwa ipasavyo.

Afisa Maliasili wa Halmashauri hiyo Bw. Lee Joshua wakati akisoma taarifa fupi kwa mgeni rasmi amesema;

“Shughuli za upandaji miti unayoizindua leo tarehe 24.11.2021 inalenga kuupendezesha Mji wetu wa Geita ili uweze kuvutia kwa kuwepo kwa vivuli na kuboresha hali ya hewa katika Mji wetu. Lakini pia ni katika kutekeleza agizo la Mhe. Makamu wa Rais alilolitoa Mwezi Desemba, 2017 la kutaka kila Halmashauri kupanda miti milioni moja na laki tano (1,5000,000) kila mwaka”

“Ni imani yetu kwamba wakazi wengi katika Halmashauri ya Mji Geita wanao mwamko wa kupanda miti, hii inadhihirika wazi kwa kuona miti katika mashamba ya watu binafsi na katika maeneo yetu ya makazi, jambo ambalo limesababisha kupandwa kwa miti ipatayo laki saba na elfu ishirini (720,000) hadi kufikia leo kwa mwaka huu wa 2021/2022, na mingine mingine ikiendelea kupandwa kama tunavyoendelea leo” Alisema Bw. Lee

Siku ya upandaji miti kitaifa hufanyika kila mwaka ifikapo Aprili 1, ni siku ambayo sisi sote inatupasa kutekeleza wajibu wa kupanda miti ili kutunza mazingira na zaidi tukilenga umuhimu wa miti au misitu katika kupunguza matatizo ya mabadiliko ya tabia nchi, alifafanua Bw. Lee

Rai imetolewa kwa Wakazi wa Geita kutovamia misitu ya hifadhi iliyoko katika Halmasahuri ya Mji Geita kwani misitu tuliyonayo imevamiwa kwa shughuli mbalimbali kama vile kilimo, makazi, uchomaji wa mkaa, uchanaji wa mbao, ukataji wa nguzo zitumiwazo na wachimbaji wadogowadogo wa dhahabu, na kuchunga idadi kubwa ya mifugo hifadhini. Mambo haya kiujumla yanasababisha uharibifu mkubwa wa mazingira na hatimae kusababisha mabadiliko ya tabia nchi.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa