• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita Mji Yaweka Historia Ukopeshaji Mikopo kwa Vikundi

Posted on: March 3rd, 2020

Geita Mji Yaweka Historia Mikopo ya Makundi Maalum

Halmashauri ya Mji wa Geita kwa mara ya kwanza imewezesha kikundi kimoja cha Geita Youth Group kutoka Kata ya Kalangalala mkopo wa shilingi 163,025,000/= kwa ajili ya kuanzisha mradi mkubwa wa kufyatua tofali, ununuzi roli na kiasi cha fedha kwa ajili ya uendeshaji wa mradi.

Akizungumza wakati wa kukabidhi hundi ya mkopo huo hivi karibuni katika Ukumbi wa GEDECO Halamshauri ya Mji Geita, Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Josephat Maganga amewaasa wanakikundi hao kutobadili tabia na mienendo yao kutokana na ujio wa fedha hizi, pia hakikisheni fedha hizi mnazitumia kufanikisha mipango mliyoipanga kama kikundi .

Mkuu wa Wilaya ya Geita amesema kuwa vijana wa Geita Youth wamebuni mradi wenye faida kwa sababu matofali yanahitajika sana katika kipindi hiki ambapo kuna kampeni kubwa ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ili kuwezesha watoto wote waliofikia umri wa kuanza shule hawakosi shule na wanafunzi wa sekondari wanapata madarasa ya kujifunzia.

Mhe. Josephat Maganga pia alipongeza Baraza la Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kuwa mfano bora na wa kuigwa katika kutelekeza maagizo ya Serikali kwa kutoa sehemu ya mapato yake kama mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kikundi cha Geita Youth Ndg. Manjale Magambo ametoa pongezi za dhati kwa Halmashauri ya Mji Geita kwa kuwasaidia vijana, wanawake na wenye ulemavu kwa kuwapatia mikopo inayowawezesha kutekeleza miradi mbalimbali na hatimaye kujikwamua kimaisha. Kadhalika ameahidi kuwa yeye na kikundi chake watatumia mkopo huo kama walivyopanga katika andiko lao la mradi na si kukopeshana fedha hizo mtu mmoja mmoja.

Sambamba na mkopo kwa kikundi hicho jumla ya Shilingi 200,025,000/= zimetolewa kwa vikundi 3 vya wanawake, 3 vya vijana na viwili vya watu wenye ulemavu kwa ajili ya kuendeleza miradi yao ya kiuchumi, ambapo kwa mwaka wa fedha 2019/2020 jumla ya shilingi 598,000,000 zimetengwa kwa ajili ya kukopesha makundi maalum. Pia Halmashauri ya Mji imetoa pikipiki mbili kwa ajili ya kuwarahisishia Maafisa Maendeleo ya Jamii usafiri wanapokwenda kwenye shughuli zao za kila siku.




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa