• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita Mji Yavuka Lengo Ukusanyaji Mapato

Posted on: September 1st, 2023

Geita Mji Yavuka Lengo Ukusanyaji Mapato

Halmashauri ya Mji Geita imefanikiwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato katika mwaka wa fedha 2022/2023 uliokamilika mwezi Juni 2023.

Akisoma taarifa ya makusanyo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mji wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani katika ukumbi wa EPZA Bombambili, Mkuu wa Kitengo cha fedha na uhasibu Halmashauri ya Mji Geita Ndugu Kasaija Katikiro amesema kuwa Halmashauri kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato imefanikiwa kufikisha lengo hilo kutokana na uwazi na matumizi ya mifumo ya kielektroniki ambayo imeongeza imani na kuziba mianya ya upotevu wa mapato.

Ndg. Katikiro ameongeza kuwa Halmashauri ya Mji imezingatia masuala muhimu kama kuimarisha usimamizi wa mapato ya ndani kwa kufanya tathimini na kuibua vyanzo vipya vya mapato, kutumia mifumo ya kielektroniki katika ukusanyaji wa mapato na kupanga matumizi katika maeneo ya vipaumbele.

Mkuu wa Kitengo cha Fedha na biashara wa Halmashauri ya Mji  Geita ameongeza kuwa uelewa wa wafanyabiashara juu ya umuhimu wa kulipa kodi, upatikanaji wa takwimu sahihi juu ya idadi ya walipa kodi, sehemu kubwa ya mapato ya ndani kufanya kazi ya ujenzi na uendelezaji wa miradi mbalimbali katika jamii kumeongeza uaminifu baina ya Serikali na wananchi pamoja na ushirikiano baina ya watumishi wa idara ya fedha na idara nyingine ni masuala yaliyochangia kufanikisha ukusanyaji wa mapato uliovuka malengo.

Kwa upande mwingine Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Geita limetoa pongezi za dhati kwa idara za elimu msingi na Sekondari kwa kufanya kazi kwa bidii na kusimamia miradi yao kikamilifu wakati wa utekelezaji hali ambayo imepelekea kuwa na miradi yenye viwango vya hali ya juu ambayo imewawezesha wanafunzi waishio katika kata mbalimbali kupata fursa ya elimu.

Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Mji Geita Bw. Rashid Muhaya amepokea pongezi hizo na kusema kuwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 jumla ya shilingi milioni 60 zimetengwa kwa ajili ya kumalizia nyumba za walimu Pamoja na vyumba vya maabara katika Shule za sekondari zilizopo nje ya mji ili kuwezesha wanafunzi wao kupata elimu bora pasipo vikwazo vyovyote.

Katika mwaka wa fedha uliokamilika mwezi Juni 2023 Halmashauri ya Mji Geita ilipanga kukusanya Shilingi Milioni 12.18 na kufanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi Milioni 12.36 sawa na asilimia 101.53%.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa