• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita Mji Yanufaika na Vifaa vya Michezo

Posted on: September 21st, 2023

Halmashauri Ya Mji Geita Yanufaika na Vifaa Vya Michezo

Halmashauri ya Mji Geita imepokea vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 6 kutoka Kampuni ya Isamilo Supplies Limited.

Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya kampuni yake hivi karibuni katika viwanja vya Makao makuu ya Halmashauri, Kaimu Meneja wa Kampuni ya Isamilo Ndugu Robison Mageta amesema kampuni yake imetoa vifaa mbalimbali vya michezo ikiwemo mipira na mahitaji ya wagonjwa katika Hospitali ya Mji Geita ikiwa ni Sehemu ya mchango wao kwa jamii inayowazunguka kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR).

Bw. Mageta ameongeza kuwa michezo ni afya, michezo ni ajira lakini pia michezo inaleta amani hivyo Kampuni ya Isamilo itaendelea kutoa kwa kadri ambavyo watazidi kupokea maombi ya mahitaji kutoka kwa makundi mbalimbali yaliyoko kwenye jamii.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Bi. Zahara Michuzi ametoa shukrani kwa kampuni ya Isamilo kwa kuwakumbuka wagonjwa walioko katika Hospitali ya Mji pamoja na kina mama wajawazito. Kadhalika kwa kuendelea kukuza vipaji vya michezo kwa wanafunzi walioko shuleni kupitia vifaa mbalimbali vya michezo walivyovitoa.

“Naomba nitumie fursa hii kutoa rai kwa wadau, makampuni, Taasisi mbalimbali kujitokeza kwa wingi katika kutoa mahitaji kwa jamii inayowazunguka kama walivyoafanya Kampuni ya Isamilo”. Aliongeza Bi. Zahara Michuzi.

Kwa upande wake Afisa Michezo wa Halmashauri ya Mji Geita Bi. Juliana Kimaro amesema vifaa hivyo vya michezo vitasaidia kuinua sekta ya michezo ndani ya Halmashauri na kupun guza upungufu uliokuwepo katika baadhi ya shule.

Pamoja na vifaa hivyo vya michezo Kampuni ya Isamilo imetoa mashuka seti 50 pamoja na kitanda kimoja cha kujifungulia ambacho kitasaidia kukabiliana na vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa