• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

GEITA MJI YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WATENDAJI NA WENYEVITI WA MITAA NA VIJIJI

Posted on: February 2nd, 2022

Halmashauri ya Mji Geita, imefunga rasmi mafunzo ya Usimamizi wa maswala ya fedha, Miradi na Utawala Bora kwa Watendaji na Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji, yaliyofanyika kwa siku mbili kuanzia jana tarehe 01.02.2022 hadi leo tarehe o2.02.2020 katika ukumbi wa mikutano wa Gedeco.

Mafunzo hayo yameshirikisha Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji 149 kutoka katika Mitaa na Vijiji ndani ya Halmashauri ya mji Geita ambao ndio Watendaji Wakuu ngazi ya Mtaa na Kijiji

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo leo mgeni Rasmi Bi. Zahara Michuzi ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita, amewataka Watendaji wote kuyatumia mafunzo hayo vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ya utoaji wa huduma kwa Wananchi.

Aidha Bi. Zahara amesisitiza na kuagiza uchapakazi, uwajibikaji na uwazi, kusimamia ulinzi na usalama, suala la maadili kwa watumishi wote, kusimamia usafi wa mazingira, kuzuia mifugo inaranda randa hovyo, kusoma mapato na matumizi ya Mitaa na Vijiji.

Bi. Zahara ameendelea kusisitiza na kuagiza upandaji wa miti kwa wananchi na Taasisi zilizopo ndani ya Vijiji na Mitaa husika, kuhakiki vibali vya ujenzi, kuanza michakato ya sensa ukusanyaji wa mapato na uibuaji wa vyanzo vipya vya mapato

Naye Afisa Utumishi wa Halmsahauri ya Mji Geita Bi. Thecla Gasembe, amesema mafunzo yaliyotolewa kwa Watendaji na Wenyeviti wa Mitaa ni kuwasaidia watendaji hao katika utekelezaji wa utoaji wa huduma bora kwa Wananchi

Pia Bi. Thecla amesema kuwa maelekezo na maagizo yote yaliyotolewa na Mkurugenzi wa Mji yanasisitizwa pamoja na mkataba waliopewa leo, lakini pia mafunzo haya kimsingi yana tija kubwa sana katika Halmashauri yetu.

Naye Katibu wa Watendaji katika mafunzo hayo Bw. Billian Sabato, akisoma ufupisho wa mafunzo hayo kwa mgeni rasmi amesema kuwa mafunzo yamekamilika na kuahidi kuyatumia vyema katika kazi zao za utoaji wa huduma kwa jamii.

 Kwa upande wake Mwenyekiti wa Watendaji katika mafunzo hayo Bw. Dua Issa Kaburi, amepongeza mafunzo hayo kutolewa kwa watendaji hao kwani yatasaidia kwa kiasi kikubwa kubadili mfumo wa utendaji wao katika utoaji wa huduma bora kwa Wananchi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa