• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wa Wanachama

Posted on: February 23rd, 2023

Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wanachama

Timu ya mpira wa miguu Geita Gold Footbal Club inayomilikiwa na Halmashauri ya Mji wa Geita imezindua mpango wa kusajili wanachama wa klabu hiyo kwa lengo la kuwafanya wanachama kuwa sehemu ya umiliki wa klabu.

Akizungumza katika mkutano na wanahabari hivi karibuni, Katibu Mtendaji wa Klabu hiyo Ndg. Simon Shija amesema kuwa mpango huo unatekelezwa kwa mujibu wa katiba ya klabu na utatoa fursa kwa watanzania wenye mapenzi na timu ya Geita Gold ndani nan je ya mkoa wa Geita kupata kadi za uanachama.

“Kwa mujibu wa katiba ya klabu Ibara ya 5 inawatambua wanachama kama sehemu ya kuiongoza klabu na kufanya maamuzi. Licha ya kuwa klabu hii inamilikiwa na Halmashauri kwa sehemu kubwa imeona vyema kutoa nafasi kwa mwanachama kuwa sehemu ya umiliki ambapo tumekusudia kupokea wanachama wasiopungua elfu mbili kwa mwaka kama sehemu ya kuimarisha timu.” Aliongeza Simon Shija.

Katibu wa Timu ya GGFC ameeleza kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya katiba ya timu inazungumzia ada za wanachama, ambapo kwa mwezi kila mwanachama ataichangia kadi kwa Shilingi 3000. Matarajio ya awali ni kusajili wanachama 2,000 ndani ya mkoa wa Geita na kupata angalau shilingi milioni 72 kwa mwaka itakayoongeza mapato ya klabu ambayo ni wastani wa Shilingi Bilioni 1.6. Aidha baada ya mwanachama kusajiliwa atapokea kadi yake ya uanachama iliyo katika mtindo wa kidijitali.

Mpango wa kusajili wanachama ni endelevu na timu inafanya jitihada kubwa kuimarisha mfumo huo na kuwa na klabu yenye ukubwa na ushindani lakini pia kuongeza nguvu ya kiuchumi ndani ya klabu. Ndugu Simon Shija amesema kuwa wanazingatia uwepo wa wanachama kutoka pande zote za Tanzania na wamezindua namba maalum ya kuchangia na kulipia ada ya uanachama kupitia LIPA NAMBA 5215290 Geita Gold . Pia klabu imeingia mkataba na kampuni ya N-card kwa ajili ya kutengeneza kadi za wanachama na timu inarajiwa kucheza michezo ya kirafiki vijijini kuhamasisha wananchi.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • DC KOMBA AWAKARIBISHA NACHINGWEA KUJIFUNZA UCHIMBAJI GEITA, ATOA USHAURI WA NAMNA NZURI YA USIMAMIZI WA MIGODI

    June 26, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa