• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wa Wanachama

Posted on: February 23rd, 2023

Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wanachama

Timu ya mpira wa miguu Geita Gold Footbal Club inayomilikiwa na Halmashauri ya Mji wa Geita imezindua mpango wa kusajili wanachama wa klabu hiyo kwa lengo la kuwafanya wanachama kuwa sehemu ya umiliki wa klabu.

Akizungumza katika mkutano na wanahabari hivi karibuni, Katibu Mtendaji wa Klabu hiyo Ndg. Simon Shija amesema kuwa mpango huo unatekelezwa kwa mujibu wa katiba ya klabu na utatoa fursa kwa watanzania wenye mapenzi na timu ya Geita Gold ndani nan je ya mkoa wa Geita kupata kadi za uanachama.

“Kwa mujibu wa katiba ya klabu Ibara ya 5 inawatambua wanachama kama sehemu ya kuiongoza klabu na kufanya maamuzi. Licha ya kuwa klabu hii inamilikiwa na Halmashauri kwa sehemu kubwa imeona vyema kutoa nafasi kwa mwanachama kuwa sehemu ya umiliki ambapo tumekusudia kupokea wanachama wasiopungua elfu mbili kwa mwaka kama sehemu ya kuimarisha timu.” Aliongeza Simon Shija.

Katibu wa Timu ya GGFC ameeleza kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya katiba ya timu inazungumzia ada za wanachama, ambapo kwa mwezi kila mwanachama ataichangia kadi kwa Shilingi 3000. Matarajio ya awali ni kusajili wanachama 2,000 ndani ya mkoa wa Geita na kupata angalau shilingi milioni 72 kwa mwaka itakayoongeza mapato ya klabu ambayo ni wastani wa Shilingi Bilioni 1.6. Aidha baada ya mwanachama kusajiliwa atapokea kadi yake ya uanachama iliyo katika mtindo wa kidijitali.

Mpango wa kusajili wanachama ni endelevu na timu inafanya jitihada kubwa kuimarisha mfumo huo na kuwa na klabu yenye ukubwa na ushindani lakini pia kuongeza nguvu ya kiuchumi ndani ya klabu. Ndugu Simon Shija amesema kuwa wanazingatia uwepo wa wanachama kutoka pande zote za Tanzania na wamezindua namba maalum ya kuchangia na kulipia ada ya uanachama kupitia LIPA NAMBA 5215290 Geita Gold . Pia klabu imeingia mkataba na kampuni ya N-card kwa ajili ya kutengeneza kadi za wanachama na timu inarajiwa kucheza michezo ya kirafiki vijijini kuhamasisha wananchi.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI February 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA MACHINJIO August 16, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Bilioni 9.8 Kutekeleza Miradi Geita Mji Kupitia CSR

    March 22, 2023
  • Wanawake Watakiwa Kuwa Vinara Kupinga Ukatili

    March 10, 2023
  • Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wa Wanachama

    February 23, 2023
  • Madiwani Geita Mji Wafanya Ziara Ya Mafunzo Chalinze

    February 16, 2023
  • Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MACHINJIO YA KISASA MPOMVU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa