• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Geita Gold FC Yakabidhiwa Basi la Wachezaji

Posted on: October 19th, 2023

Geita Gold FC Yakabidhiwa Basi la Wachezaji

Timu ya Mpira wa miguu ya Geita Gold FC inayomilikiwa na Halmashauri ya Mji Geita imekabidhiwa basi litakalotumika kusafirishia wachezaji katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa ajili ya michuano ya Ligi kuu ya NBC na mashindano mengine.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya basi hilo lililogharimu Shilingi Milioni 500 kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya GGML Terry Strong amesema kwa miaka mingi kampuni yake imekuwa ikiona Fahari kuisaidia jamii inayowazunguka kupitia utekelezaji wa miradi na shughuli nyingine za maendeleo ikiwemo udhamini mkuu kwa Timu ya  mpira wa miguu ya Geita Gold.

Waziri wa Madini Mheshimiwa Anthony Mavunde ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla fupi ya makabidhiano ya basi hilo iliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Soko kuu la Dhahabu Geita mjini amesema kuwa upatikanaji w abasi hilo kunatokana na matunda ya mabadiliko ya sheria ya madini, kanuni na sera inayoitaka Kampuni kurudisha sehemu ya faida yake kwa jamii(CSR)

Mhe. Mavunde ametoa pongezi za dhati kwa kampuni ya GGM kwa udhamini walioufanya ambao ni mkubwa sana katika kuitangaza timu, kampuni yao pamoja na raslimali ya dhahabu inayopatikana kwa wingi katika mkoa wa Geita, na kuwaalika wadau wengine wa maendeleo katika mkoa wa Geita kuiga mfano wa GGM katika kuidhamini timu yao katika masuala mbalimbali yanayohitajika.

Mbunge wa Geita mjini Mheshimiwa Costantine Kanyasu ameushukuru uongozi wa GGM kwa udhamini huo kwani kabla ya kuwepo kwa basi hilo kulisababisha wachezaji kusafiri kwa magari madogo ya coaster na viongozi wao kupanda mabasi kwa nauli zao.

Mhe. Kanyasu amewasihi wachezaji wa Geita Gold kutambua namna wananchi wa Geita wanavyoipenda na kuiamini timu yao hivyo wanapokuwa uwanjani watambue maumivu wanayoyapata wananchi hao baada ya wachezaji kucheza katika kiwango dhaifu au kufanya mambo ambayo ni kinyume na matarajio ya mashabiki wao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Geita Mhe. Costantine Morandi ametoa shukrani za dhati kwa GGM kwa udhamini huo na kueleza kuwa ukitaka kujua thamani ya mdhamini ni muda wa kutafuta wadhamini, akitolea mfano changamoto waliyoipitia kwa msimu uliopita ambapo walipeleka maombi kwa kampuni zaidi ya ishirini bila mafanikio.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa