• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

DC KOMBA AONGOZA KIKAO MAALUM CHA WADAU WA USAFI MAZINGIRA KATIKA MANISPAA YA GEITA

Posted on: April 22nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashim Komba leo tarehe 22 Aprili, 2025 ameongoza kikao maalum cha kwanza cha wadau wa mazingira kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo katika viwanja vya maonyesho Bombambili

kikao hiki maalum cha wadau wa Mazingira kimekuwa na lengo kuu la kujadili masuala ya usafi wa mazingira, udhibiti wa taka na upendezeshaji wa maeneo ya manispaa ya Geita. 

Kikao hicho kiliambatana na uandaaji wa mpango kazi wa utekelezaji wa Mradi usafi katika Halmashauri ya Manispaa Geita na kikao hiko kimejumuisha wadau mbalimbali kama vile; Waheshimwa madiwani, kamati ya ulinzi na usalama wakiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya, viongozi wa dini, wakuu wa idara na vitengo kutoka Manispaa na taasisi zingine zilipo ndani ya Manispaa.

Wadau wengine ni pamoja na Viongozi wa Chama Ngazi ya wilaya hadi kata, wajumbe wa Serikali za Mitaa, Maafisa Watendaji wa Kata na Mitaa, Wafanyabiashara, wawakilishi wa vikundi mbalimbali vya mazingira na wadau wengine mbalimbali

Hata hivyo, wadau wameweka mbinu na  mikakati bora ya kuimarisha utekelezaji wa Mradi wa ukoreshaji wa Mazingira na uhifadhi bora wa taka katika Manispaa ya Geita yenye azma ya kuwa na Manispaa safi, salama na yenye kuvutia

Akifunga kikao hicho Mhe. komba amesema kuwa kutakuwa na kampeni maalumu yenye lugha ya kisukuma Hyagulaga Geita Geita ikiwa na maana Safisha Geita ambayo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 26 Aprili, 2025 wakati maadhimisho wa sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wilayani Geita. 

Akifafanua zaidi juu ya kampeni hiyo Mh. Komba amesema kuwa kampeni hiyo itaanza rasmi tarehe 01 Mei, 2025 na itakuwa inaambatana na utoaji wa zawadi kila baada ya miezi mitatu kama motisha katika makundi mbalimbali kama vile washindi watatu wa kwanza na washindi wa tatu wa mwisho kwa ngazi ya mtaa, nyumba, taasisi n.k, balozi wa mazingira, wajasiriamali na wafanyabiashara wenye kutunza mazingira sehemu zao za biashara n.k lengo kuu ya kampeni hii ni kuhakikisha kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Geita inakuwa safi, salama na yenye kuvutia.

 BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa