• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

DC KOMBA ALAANI MAUAJI YA MWENYEKITI WA SERIKALI YA MTAA

Posted on: June 24th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba, amelaani vikali mauaji ya mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwatulole uliopo katika Kata ya Buhalahala Ndg. Noel Ndasa yaliyotokea tarehe 23 June 2024 majira ya nyumbani kwake Mwatulole

Mhe. Komba amesema hayo wakati akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke kilichopo katika katika kata ya Bulela.

Amethibitisha kuuawa kwa Mwenyekiti huyo wa Serikali ya Mtaa na watu wasiofahamika waliovamia nyumbani kwa marehemu na kumshambulia kwa mapanga na kusababisha kifo chake. Aidha, Mhe. Komba amelitaka jeshi la polisi kuendelea na uchunguzi wa kina na hatimaye wahusika wa tukio hilo wafikishwe katika vyombo vya sheria

Wakati huo huo, Mhe. Komba amelaani mauwaji ya watu wenye mahitaji maalum hasa wenye ulemavu wa ngozi (Albino) kwa kile kinachohusishwa na imani za kishirikina na ameitaka jamii kutofumbia macho matendo maovu bali watoe taarifa katika vyombo vya sheria

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Komba amekuwa kwenye ziara Kata ya Bulela ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea Kata zote za Halmashauri ya Mji Geita iliyoanza tarehe 18 June, 2024 kwa ajili ya kujitambulisha, kuijua Halmashauri ya Mji wa Geita, Kutembelea na kukagua miradi iliyokwama ili iweze kukamilishwa na kuanza kutoa huduma lakini pia kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia majibu.

Ziara hiyo ya Mhe. Komba imehusisha viongozi mbalimbali wa kisiasa wa Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Kata, Kamati ya Usalama ya Wilaya ikiongozwa na Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya, Afisa Tarafa ya Geita, pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Mji wa Geita aliyeambatana na Wakuu wa Divisheni na Vitengo (Wataalamu) mbalimbali.

Taasisi zingine zilizoshiriki katika ziara hii ni pamoja TARURA, TANESCO, GEUWASA na Mgodi wa Dhahabu wa GGM

 Akiwa katika ziara hiyo, Mhe. Komba ametembelea miradi mbalimbali muhimu ikiwemo ya afya, maji, barabara na kusikiliza kero zao na kuzitafutia majibu kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke kilichopo katika katika kata ya Bulela


BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO MAALUMU WA BARAZA WA KUJADILI MAJIBU YA HOJA NA MAPENDEKEZO YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    June 11, 2025
  • BILIONI 19.1 KUTEKELEZA UJENZI KITUO KIKUU CHA MABASI MANISPAA YA GEITA

    June 06, 2025
  • WATUMISHI GEITA MANISPAA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    June 05, 2025
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA GEITA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MITANDAO YA KIJAMII YENYE TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

    June 04, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa