• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

DC KOMBA AHAHIDI KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA SOKO LA MTAA WA COMPOUND MWEZI JULAI 2024

Posted on: June 21st, 2024

Mhe. Komba ametoa ahadi hiyo baada ya kukagua ujenzi wa Soko la Mtaa wa Compound ambao unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Julai, 2024.

DC Komba leo amekuwa kwenye ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Kata ya Mtakuja ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa kuzitembelea Kata zote kumi na tatu (13) zilizopo katika Halmashauri ya Mji Geita

Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wakipokea zawadi toka kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtakuja

Akiwa katika Kata hii ya Mtakuja Mhe. Komba ametembelea miradi ifuatayo; ujenzi wa soko la Mtaa wa Compound, shule mpya ya sekondari Mtakuja iliyopo katika Mtaa wa Nyamalembo, ujenzi wa Zahanati ya Bihengule na ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Mbabani iliyopo katika mtaa wa Mbabani ambapo shule hii ndiyo shule itakayokuwa ya amali (Shule ya Ufundi) katika Halmashauri ya Mji Geita

Akibainisha hilo Mkurugenzi wa Mji Ndg. Myenzi amesema wataalam kutoka Wizarani walishafika kubainisha eneo hilo na waliona linafaa hivyo tunachosubiria ni maelekezo ya kiserikali ilio utekelezaji wa mradi uendelee.

Aidha Mhe. Komba wakati akiwa anatembelea miradi katika Mtaa wa Mbabani aliweza kutembelea ujenzi madarasa katika shule ya msingi Mbabani yanayojengwa kupitia Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) chini ya mpango wa uwajibikaji kwa jamii (CSR) na kuwataka wakadarasi wote waliopewa mikataba chini ya CSR kuhakikisha wanakamilisha kazi zao kwa wakati na kwa viwango vilivyokusudiwa

Katika salamu zake kwa wananchi Diwani wa Kata ya Mtakuja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Geita, Mhe. Costastine Morandi Mtani amshukuru sana Mhe. Rais kuleta umeme katika Mtaa wa Mbabani Pamoja na kuleta miradi mingi katika Halmashauri ya Mji kwa ujumla.

Aidha, baada ya ziara hiyo Mhe. Komba alifanya mkutano wa hadhara katika Mtaa wa Mpomvu ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Komba akiwahutubia wananchi wa Kata ya Mtakuja

Ziara hiyo ya Mhe. Komba imehusisha viongozi mbalimbali wa kisiasa wa Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Kata, Kamati ya Usalama ya Wilaya ikiongozwa na Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya, Afisa Tarafa ya Geita, pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Mji wa Geita aliyeambatana na Wakuu wa Divisheni na Vitengo (Wataalamu) mbalimbali.

Taasisi zingine zikizoshuriki katika ziara hii ni pamoja TARURA, TANESCO, GEUWASA na Mgodi wa Dhahabu wa GGM


BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa